Makonda wa daladala muwe wasafi

Makonda wa daladala muwe wasafi

SITABIRIKI

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2013
Posts
364
Reaction score
105
Wana jukwaa mu haligani?

Nimepanda daladala mida hii toka S. Gema kuja Jamatin konda ananuka balaa na kinacho toa harufu ni nguo ya ndani kiasi inzi kumfata yanI gari nzima inanuka.

IMENIBIDI KUTEREMKA NJIANI NITAFUTE USAFIRI MWINGINE
 
Sasa si ungemwambia? Yaani badala utatue tatizo hapo hapo unakuja huku kufungua sredi? Sasa ukifungua sred ndo watakuwa wasafi????
 
Unamsingizia mkuu wa Mkoa wa Dar mbona ni msafi anaveshwa na Sharia Ngowi.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
 
Back
Top Bottom