Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
acha uongoMawazo yake huwa mazuri baadhi yake amefanikisha na baadhi yake vinahitaji pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
acha uongoMawazo yake huwa mazuri baadhi yake amefanikisha na baadhi yake vinahitaji pesa
Amekuja na wanawake kulipwa 40% ya salary sasa. Bashite the actorAmekuwa onja onja
Na sisi wananchi wake tumekuwa onjesha onjesha
Kesho hakuna kuzururaNg'wana Makonda, Mwangaruka muyanda!
Juhudi zako za kukomboa wanawake tunaziona lkn hujawahi kuzipatia. Mara zote umezua taharuki. Nafikiri bado dhana ya haki sawa na masuala ya kijinsia hujapata nafasi ya kuyapitia sawasawa Mkuu wetu!
1. Jiulize mwenye wake wanne arobaini itatosha?
2. Mke anafanya kazi na mme hafanyi kazi? Mwanamke nae Ile 40 itaenda kwa me?
Ningeshauri Kama Kiongozi pigana Sana kutafuta fursa rafiki kwa wanawake, ili wajielekeze kwenye kusaka maisha kwa nguvu zao, hii itakuwa na tija kuliko kuidumaza akili yao kwa kuilekeza kwenye 40%.
Ni maoni tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekuwa onja onja
Na sisi wananchi wake tumekuwa onjesha onjesha
Kupuliza dawa ya kuua virusi vya Corona Dar!!!
Imeishia wapi?Kupuliza dawa ya kuua virusi vya Corona Dar!!!
Kupuliza dawa ya kuua virusi vya Corona Dar!!!