Wakazi wa Dar wote ni wa mikoani nao warudi makwao wabaki wazaramo tu kwa nini mnawanyanyapaa omba omba tu? Kwani sio binadamu?wengi wametokea mkoani, na wanadaiwa hawana nauli
Jamaa huyu noma,me napenda anavyobuni vitu unaviskia kwenye tv tu huku mtaani havifiki...Katika wakuu wa mikoa hapa Tanzania waliocheza movies za kutisha basi ni Makonda!
Na omba omba wakazi wa Dar waende wapi?watoto kutoka mkoani kuja kuomba omba ndio hairuhusiwi
Hawa omba omba miyeyushoWakazi wa Dar wote ni wa mikoani nao warudi makwao wabaki wazaramo tu kwa nini mnawanyanyapaa omba omba tu? Kwani sio binadamu?
tanzania pia iache kuomba omba, ndo iwachukulie hatua , mana usitazame kibanzi kilicho ndani ya jicho lako alafu unasahau boliti........Nch yetu nayo ikiacha kuombaomba nazan pia awa ombaomba wataacha. I think they take full advantage of the chronic begging of the CCM regime
Wezi au wazurulajiWatawafunga jela kwa kutumia sheria gani?
uzururajiii ..
waende shule au watafute kazi nyingineNa omba omba wakazi wa Dar waende wapi?
Ha! Ha! Ha! Ni kuanzia fire kuelekea magomeni , kimara na kuendelea .hivi mikoani ndio wapi!.?