johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
- Thread starter
- #21
Hahahaa...... Lowassa anaunga mkono juhudi usisahau hilo!Bora akili za mafisadi kuliko za kina bashite
Hahahaa...... Lowassa anaunga mkono juhudi usisahau hilo!Bora akili za mafisadi kuliko za kina bashite
Umeambiwa umeme utakuwa bei rahisi uwe unaelewa!
Hata wakati wa kiama watakaoenda motoni baada ya shetami ni Wanasiasa!mkuu mbona unatumia nguvu nyingi saaaana kuchambua maneno ya wanasiasa??? mwanasiasa akikwambia usiku mwema, fungua dirisha uangalie kama kweli ni usiku.
hayo ndo maneno ya wanasiasa, usiyatilie maanani kiasi hicho.
Kumbuka wakati wapinzani wanapinga kupitishwa kwa hati ya dharura mswaada wa sheria ya mafuta na gesi,Magu alikuwa ni mmoja wabunge wa CCM wa CCM na waziri wa serikali ya CCM alieshiriki kupiga makofi na kusema "ndiooooo" .Mafisadi mliyoyakumbatia ndio yametukwamisha!
Tuliambiwa hivi kwenye gas ya mtwara, wachezaji wanabadilika, lakini ngoma na mpinga zumari ni wale waleRC Makonda amesema mradi wa kuzalisha umeme wa Stieglers Gorge utakapokamilika taifa litajigomboa kwa kuwa na umeme mwingi kwa bei nafuu.
Makonda amedai kwa kuwa umeme huu utasambazwa kote vijijini basi mradi huu mkubwa sana unaenda kumtua mama wa kijijini mzigo wa kuni na pia mama wa mjini ataondokana na adha ya kutumia jiko la mkaa.
Source Clouds 360!
Hahahahaha kumbe Mkuu unakumbukumbu nzuri sana.Yale yale ya mamilioni ya cubic feet gesi kumkomboa mtanzania.
Vyote hivyo huvibeba kichwani. Kupanda ni kuchaguwa. Vyote vinakwenda pamoja kitakachowahi ndicho atakachotangulia kutua.
Miradi mingi ya maji ipo inajengwa na mingine inasubiri Umeme wa bei nafuu ili gharama ya uendeshaji ishuke. Sasa mengine fikiria kwa akili yako kilaza wewe.
Na Vijijini vya Chato na Kolomije wanatumia nini Mkuu?Vijiji vya upareni wanatumia majiko ya umeme tangia 1990s so inawezekana kabisa!
Maradhi tena mkuu?Basic human needs kama maji, Malawi (nyumba bora) maradhi, na elimu hatujafikia tunakimbilia nishati.
Hili bwawa litazalisha megawatts zaidi ya 2000 wakati vyanzo vyote vya sasa vinazalisha megawatt 1500 tu, usisahau hilo!Najaribu kuelewa ila swali......Kwani Tanzania imeanza kutumia HEP mwaka gani na kwa nini bei haikuwa rahisi kipindi hicho????
Hata Waitara ingekuwa bado yupo hapo Lumumba anampikia Nchimbi chai nae asingepata tabu ya kuharibu macho yake yawe mekundu kwa moshi wa kuni.Hata hapo Ufipa chai mtachemshia birika ya umeme akina Lijuakali watapumzika kuwaletea magunia ya mkaa!
Imebidi nicheke aiseee.... Your quote gake me back then..... Siasa mbaya sanaYale yale ya mamilioni ya cubic feet gesi kumkomboa mtanzania.
Aisee heko sana mkuuTujitahidi kwanza tuwatue ndoo za maji kabla ya kuni na mkaa.
Kama yule wa 1.5trlMafisadi mliyoyakumbatia ndio yametukwamisha!
Hata gesi pia tuliaminishwa vivyo hivyoUmeambiwa umeme utakuwa bei rahisi uwe unaelewa!
Lowassa hakupiga kura?!!Kumbuka wakati wapinzani wanapinga kupitishwa kwa hati ya dharura mswaada wa sheria ya mafuta na gesi,Magu alikuwa ni mmoja wabunge wa CCM wa CCM na waziri wa serikali ya CCM alieshiriki kupiga makofi na kusema "ndiooooo" .
For me all in all what matter nikuomba mvua zinyeshe tu sana otherwise this will take us back big times.....Hili bwawa litazalisha megawatts zaidi ya 2000 wakati vyanzo vyote vya sasa vinazalisha megawatt 1500 tu, usisahau hilo!
Hahahaa..... Mwita Waitara huyu mbunge mtarajiwa wa Tarime!Hata Waitara ingekuwa bado yupo hapo Lumumba anampikia Nchimbi chai nae asingepata tabu ya kuharibu macho yake yawe mekundu kwa moshi wa kuni.