johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,148
RC Makonda amesema mradi wa kuzalisha umeme wa Stieglers Gorge utakapokamilika taifa litajigomboa kwa kuwa na umeme mwingi kwa bei nafuu.
Makonda amedai kwa kuwa umeme huu utasambazwa kote vijijini basi mradi huu mkubwa sana unaenda kumtua mama wa kijijini mzigo wa kuni na pia mama wa mjini ataondokana na adha ya kutumia jiko la mkaa.
Source Clouds 360!
Makonda amedai kwa kuwa umeme huu utasambazwa kote vijijini basi mradi huu mkubwa sana unaenda kumtua mama wa kijijini mzigo wa kuni na pia mama wa mjini ataondokana na adha ya kutumia jiko la mkaa.
Source Clouds 360!