Hao wengine wapunguzwe. Maana muhudumu wa ofisi kazi yake ni kubeba mafaili tu, PS kazi yake kuchapa barua, Dereva kazi yake ni kumuendesha mkuu, Walinzi kazi yao kulinda tu ofisi so Ok ok inazungumzika hii
Possible kabisa. Mazoea yalikuwa mengi. Ila inatakiwa kuangalia majukumu. Wengi was wasaidizi hawajui majukumu yao au wanaingiliwa na wakuu wao hivyo Ku give up wakisubiri maelekezo kutoka juu.. Tuwaachie majukumu wafanye majukumu bila kuwaingilia ili wawe huru.
huyu mropokaji sana, hayo wafanyakaz 120 wote wanawajibka kwake directly had aone hawana impact...
itabid tumuulize na anko magu ye anawafanykaz 560000 tujiulize anawapa credit wangapi?? maaana kaz kubwa aliyonayo kwa sasa ni kuteua na kutengua..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.