Makonda njia nyeupee urais 2025

Raisi wa Wasafi ama Raisi wa Manzese achuane na Madii....
 
Makonda atafukuzwa kazi muda si mrefu kwa kuzozana na kamanda Siro
Ni kijana wa hovyo hovyo sana asiyejua kabisa uongozi
 
Uzuri Rais ajaye lazima awe Muislamu kama ilivyo Nchi hii ni ya Wakatoliki na Waislamu ni Marufuku Muagrikana, KKT kushika nchi.
Kwani uislamu unapatikanaje? Usicheze na wanasiasa ndugu!
 
Namkubali sana huyu kijana japo natamani agombee urais mwaka 2025 kwa tiketi ya ukawa nadhani anaweza kufanya makubwa sana kuliko akiwa ccm ujasiri alionao na uthubutu wake wa kufanya mambo ndiyo silaha mhm ktk uongozi.
Mafisadi wmekimbilia UKAWA, makonda hawezi kwenda huko
 
Mtu unakuwa aje na kipimo cha rais ajaye..Na kama ni hvyo Makonda nae yumo..?
 
akiwa Raisi hakiamungu mimi najinyonga. Bora nife kuliko nchi kuongozwa na vilaza miaka 20 mfululizo
 
Kuna watu wamefanya urais uonekane ni wadhifa mwepesi sana nchini kwetu.
 
Back
Top Bottom