ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 8,046
- 2,930
Uzuri hujabainisha rais wa nini anaeza Kuwait rais wa wasafi au raid Wa masharo
Mkuu labda anamaanisha rais wa wasafi au tffMods naomba mfute huu Uzi kila nikiuona nahis kupigwa Ban
Kwani uislamu unapatikanaje? Usicheze na wanasiasa ndugu!Uzuri Rais ajaye lazima awe Muislamu kama ilivyo Nchi hii ni ya Wakatoliki na Waislamu ni Marufuku Muagrikana, KKT kushika nchi.
Mafisadi wmekimbilia UKAWA, makonda hawezi kwenda hukoNamkubali sana huyu kijana japo natamani agombee urais mwaka 2025 kwa tiketi ya ukawa nadhani anaweza kufanya makubwa sana kuliko akiwa ccm ujasiri alionao na uthubutu wake wa kufanya mambo ndiyo silaha mhm ktk uongozi.
Watuu kama wewe TCRA ndyo inabidi iwashughurikie ipasavyo.Uzuri Rais ajaye lazima awe Muislamu kama ilivyo Nchi hii ni ya Wakatoliki na Waislamu ni Marufuku Muagrikana, KKT kushika nchi.