GE2025 Makonda: Nikishinda Ubunge nitamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha

GE2025 Makonda: Nikishinda Ubunge nitamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,606
Hivi hawa viongozi wanatuonaje kwa mfano. Na hao wananchi wako tu hapo wanasikiliza na kupigia ujinga makofi. Ni kwamba kero zote Arusha zimetatuliwa au?
================

Mgombea Ubunge Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema katika kusherehesha shamrashamra za mkesha wa mwaka mpya atamleta muigizaji maarufu duniani Arnold Schwarzenegger jjini Arusha.

Makonda ameyasema hayo akizungumza katika mkutano wa kampeni leo ljumaa Septemba 19, 2025 alipotembelea soko la Samunge kuzungumza na wafanya biashara.

 

Attachments

  • snapins-ai_3725245898558406280.mp4
    13.5 MB
Aisee ! Ndiyo maana mwanangu aliniuliza swali tata kabisa , eti baba hivi ni Kwanini jua linatoka mchana wakati usiku ndiyo Kuna giza.. nafungua JF nakutana na nyingine . Kwa sasa Kila mtu atachanganyikiwa kwa muda wake
 
Hivi hawa viongozi wanatuonaje kwa mfano. Na hao wananchi wako tu hapo wanasikiliza na kupigia ujinga makofi. Ni kwamba kero zote Arusha zimetatuliwa au?
================

Mgombea Ubunge Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema katika kusherehesha shamrashamra za mkesha wa mwaka mpya atamleta muigizaji maarufu duniani Arnold Schwarzenegger jjini Arusha.

Makonda ameyasema hayo akizungumza katika mkutano wa kampeni leo ljumaa Septemba 19, 2025 alipotembelea soko la Samunge kuzungumza na wafanya biashara.
Bashite katika ufala wake tena🚮🚮🚮🚮
 
Hivi hawa viongozi wanatuonaje kwa mfano. Na hao wananchi wako tu hapo wanasikiliza na kupigia ujinga makofi. Ni kwamba kero zote Arusha zimetatuliwa au?
================

Mgombea Ubunge Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema katika kusherehesha shamrashamra za mkesha wa mwaka mpya atamleta muigizaji maarufu duniani Arnold Schwarzenegger jjini Arusha.

Makonda ameyasema hayo akizungumza katika mkutano wa kampeni leo ljumaa Septemba 19, 2025 alipotembelea soko la Samunge kuzungumza na wafanya biashara.

View attachment 3476052
🚮🚮🚮🚮🚮
 
Ukimaliza wapelekee joti
Kila mwaka wapelekee msanii mmoja
Mwaka wa kuisha ubunge kaa nao waulize wanataka nini katika maendeleo
Halafu waombe kura zao ili uweze kutimiza matarajio yao katika maendeleo
 
Huyu mwanamtandao hatari Magufuli alistuka Mwishoni kalelewa na Samweli 6 alafu na Membe kachero mbobezi wanamtandao bado wako wapo sana alafu kuna watu wanamuona huyu ni shujaa wao polepole nae kijana wa wana mtandao japokuwa ni mtu wa maadili yeye team Magufuli kabaki polepole wazee wa chama kwanza
 
SAsa shoziniga akija Arusha ndiyo wananchi watapata maji? Kuna mwingine kwenye kampeni amesema akiwa rais kila mwananchi wa zanzibar lazima aoe wanawake zaidi ya mmoja.
 
Kwa hiyo changamoto zinazowakabili watu wa arusha ni kutokumuona live shwazniga?
 
Na wananchi wanapiga makofi. Raia washakata tamaa hadi hawaelewi wanataka nini, nini muhimu kwao, nini mbunge anatakiwa kuwafanyia...na nini haki zao toka kwa viongozi na serikali yao waliyoiweka wao wenyewe madarakani. Hivi hapo Arusha ndo kuna wale jamaa wanaitwa wadudu si ndio? Na hawa kina Mama wanaoshangilia kuletewa Schwarzenegger ndo Mama zetu si ndio? Na ndo waliotuzaa sisi vijana wa Arusha tuitwao wadudu si ndio?....sijui nataka kusema nini...anyways, itoshe tu kusema kwamba hii dharau kubwa sana toka kwa viongozi na watawala kwa sisi raia wema tusio na hatia.
 
Ni rahisi kumtoa msukuma usukumani ila ni vigumu sana kuutoa usukuma kichwani mwake.
 
Ni rahisi kumtoa msukuma usukumani ila ni vigumu sana kuutoa usukuma kichwani mwake.
Tatizo ni la hao wanaomsikiliza kwasababu hapo jamaa anaona ni kama anaongea na wadudu pamoja na wazazi wao. Sasa mdudu atamfanya nini binadamu? Arusha ishakua ya hovyo sana aiseeh 🤔
 
Arusha ya zamani ni tofauti na sasa wamejaa wakina uncle T
 
Hivi hawa viongozi wanatuonaje kwa mfano. Na hao wananchi wako tu hapo wanasikiliza na kupigia ujinga makofi. Ni kwamba kero zote Arusha zimetatuliwa au?
================

Mgombea Ubunge Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema katika kusherehesha shamrashamra za mkesha wa mwaka mpya atamleta muigizaji maarufu duniani Arnold Schwarzenegger jjini Arusha.

Makonda ameyasema hayo akizungumza katika mkutano wa kampeni leo ljumaa Septemba 19, 2025 alipotembelea soko la Samunge kuzungumza na wafanya biashara.

View attachment 3476052
Ndiyo mwisho wa akili yake hapo.
 
Siyo kuboresha huduma za afya, elimu hasa libraries, madarasa na madawati, miundo mbinu, ustawi wa jamii, maji nk nk nk!
Yeye Arnold Schwarzenegger!
Na WADANGANYIKA wanafurahia na kupiga makoti?!
Hakuna kitu hapo!
 
Back
Top Bottom