Makonda ni Magufuli ajaye

Makonda ni Magufuli ajaye

Seaman88

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2012
Posts
417
Reaction score
156
Kutokana na uongozi wake wenye misimamo ni dhahiri kabisa kua huyu kijana ni hazina kwa Taifa kama Tanzania,Taifa lililokua linamhitaji kiongozi shupavu,kiongozi anasiyetetereshwa ila kusimamia lile ambalo analiona lina maslahi kwa eneo lake na Taifa kwa ujumla.

Mh Makonda ni miongoni mwaka watendaji wa serikali walioweza kuendana na kasi ya Mh Rais,ni vyema tukamuunga mkono kijana huyu tuwe naye bega kwa bega kwa maslahi mapana ya mkoa wetu na Taifa kwa ujumla. Dar es Salam ndio kiini cha Tanzania, Tunapoitaja DSM basi tunaitaja Tanzania, Mh Makonda amefaulu kwa kiasi kikubwa hasa kusimamia amani, ulinz na usalama wa mkoa akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama.

Kijana Makonda ni kama amezaliwa kuongoza kutokana na utashi wake katika uongozi.Makonda ni Magufuli ajaye.Taifa linamhitaji sana kwa sasa.
 
Kutokana na uongozi wake wenye misimamo ni dhahiri kabisa kua huyu kijana ni hazina kwa Taifa kama Tanzania,Taifa lililokua linamhitaji kiongozi shupavu,kiongozi anasiyetetereshwa ila kusimamia lile ambalo analiona lina maslahi kwa eneo lake na Taifa kwa ujumla.
Mh Makonda ni miongoni mwaka watendaji wa serikali walioweza kwendana na kasi ya Mh Rais,ni vyema tukamuunga mkono kijana huyu tuwe nae bega kwa bega kwa maslahi mapana ya mkoa wetu na Taifa kwa ujumla.Dar es Salam ndio kiini cha Tanzania,Tunapoitaja DSM basi tunaitaja Tanzania,Mh Makonda amefaulu kwa kiasi kikubwa hasa kusimamia amani,ulinz na usalama wa mkoa akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama.
Kijana Makonda ni kama amezaliwa kuongoza kutokana na utashi wake katika uongozi.Makonda ni Magufuli ajaye.Taifa linamhitaji sana kwa sasa.

Piga Warioba akome
 
Kutokana na uongozi wake wenye misimamo ni dhahiri kabisa kua huyu kijana ni hazina kwa Taifa kama Tanzania,Taifa lililokua linamhitaji kiongozi shupavu,kiongozi anasiyetetereshwa ila kusimamia lile ambalo analiona lina maslahi kwa eneo lake na Taifa kwa ujumla.
Mh Makonda ni miongoni mwaka watendaji wa serikali walioweza kwendana na kasi ya Mh Rais,ni vyema tukamuunga mkono kijana huyu tuwe nae bega kwa bega kwa maslahi mapana ya mkoa wetu na Taifa kwa ujumla.Dar es Salam ndio kiini cha Tanzania,Tunapoitaja DSM basi tunaitaja Tanzania,Mh Makonda amefaulu kwa kiasi kikubwa hasa kusimamia amani,ulinz na usalama wa mkoa akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama.
Kijana Makonda ni kama amezaliwa kuongoza kutokana na utashi wake katika uongozi.Makonda ni Magufuli ajaye.Taifa linamhitaji sana kwa sasa.
HAZINA YA UBABAISHAJI HUYO HANA LOLOTE
 
Tehee hivi alishatoa gari kwa mwenyekiti ambae mtaa wake uliongoza kwa usafi Dar na mwenyekiti ambae mtaa wake mchafu alimtaja...Mzee wa kuwakamata wanaostarehe gesti. Jamaa Uongozi anaupenda ila Uongozi haumpendi
 
Kutokana na uongozi wake wenye misimamo ni dhahiri kabisa kua huyu kijana ni hazina kwa Taifa kama Tanzania,Taifa lililokua linamhitaji kiongozi shupavu,kiongozi anasiyetetereshwa ila kusimamia lile ambalo analiona lina maslahi kwa eneo lake na Taifa kwa ujumla.
Mh Makonda ni miongoni mwaka watendaji wa serikali walioweza kwendana na kasi ya Mh Rais,ni vyema tukamuunga mkono kijana huyu tuwe nae bega kwa bega kwa maslahi mapana ya mkoa wetu na Taifa kwa ujumla.Dar es Salam ndio kiini cha Tanzania,Tunapoitaja DSM basi tunaitaja Tanzania,Mh Makonda amefaulu kwa kiasi kikubwa hasa kusimamia amani,ulinz na usalama wa mkoa akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama.
Kijana Makonda ni kama amezaliwa kuongoza kutokana na utashi wake katika uongozi.Makonda ni Magufuli ajaye.Taifa linamhitaji sana kwa sasa.
Wapo vijana wenye maono ya mbali na wasiotereshwa na propaganda za wapinzani hapa ndipo unamkuta NAPE,MWIGHULU,MAKONDA,JANUARY na wengine hakika utawala wa tano tumewabahatisha viongozi
 
Wapo vijana wenye maono ya mbali na wasiotereshwa na propaganda za wapinzani hapa ndipo unamkuta NAPE,MWIGHULU,MAKONDA,JANUARY na wengine hakika utawala wa tano tumewabahatisha viongozi
Mie bado nitaendelea kutatizwa na tafsiri ya ujana katika siasa!
 
Hatuwez kumchagua mtu kuongoza nchi kwa maono yako ww
Wanaopinga kila kitu hawakosi,ila ni nasema mh makonda ni MTU sahihi kuwa mkuu wa mkoa huu wa DSM,P.Makonda tupo began kwa bega mkuu
 
Makonda ni kiongozi asiyejifahamu anadhani bado anabeba mapambio ya wana wa mfalme JK embu ajisahihishe aache kutukanana na watu kwenye mitandao wanamdharilisha kila mtu sasa anamwangalia mara mbili mbili akiamini kwamba kumbe ni mtu wa watu
 
ndama kakata kamba kaja rukaruka humu
 
Na mmeshaona mteremko tena,mnateleeezaaaa!Yaani mshajua kuwa sirikali hii kufagiliana ndio kigezo cha kuchaguliwa;basi mnaitumia vizuri fursa hiyo!Mnateleza tu kama Maiko Jackson.
 
Big up Makonda, ukweli mawazo yako ni mazuri na kweli huyu kijana the Makonda ni Magufuli ajaye.Hutoa maamuzi mazuri ya kiutendaji nk mungu aendelee kumuweka hai na awepo hapo kwenye hiyo nafasi. Ila wale wala viroba wa Kingunge watabisha maana wao walikaririshwa na DJ mbowe awe wa kupinga tu hata kama jua wanaliona watapinga kwamba siyo jua eti ni nyota.
 
Back
Top Bottom