NANUKUU
"Mungu akasema nami, kutana na viongozi wa dini... nikataka siku hiyo wale chakula cha kimataifa... lakini pesa nikawa sina..... nikakopa pesa Shs 50,000,000/= kwa rafiki wa mke wangu..... Hata Askofu Kakobe alistaajabu kwa menu ile... kama ya hoteli ya nyota sita.
Mzee Mengi aliporejea nchini nikamuambia... nadaiwa..... akalipa pesa zote Shs 147,000,000/=".
Hakika tunaye mkuu wa Mkoa Mbunifu.
"Mungu akasema nami, kutana na viongozi wa dini... nikataka siku hiyo wale chakula cha kimataifa... lakini pesa nikawa sina..... nikakopa pesa Shs 50,000,000/= kwa rafiki wa mke wangu..... Hata Askofu Kakobe alistaajabu kwa menu ile... kama ya hoteli ya nyota sita.
Mzee Mengi aliporejea nchini nikamuambia... nadaiwa..... akalipa pesa zote Shs 147,000,000/=".
Hakika tunaye mkuu wa Mkoa Mbunifu.