kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,810
Huyu ndo rais wetu bwanaKweli mkuu tufyatuo tu,wenzetu nje ya nchi wapo bussy kubuni vitu vipya sisi tunashauriwa kufyatua watoto,,aibu hii tutaificha wapi
Huyu ndo rais wetu bwanaKweli mkuu tufyatuo tu,wenzetu nje ya nchi wapo bussy kubuni vitu vipya sisi tunashauriwa kufyatua watoto,,aibu hii tutaificha wapi
Vyovyote tu, wataandamana, ndivyo walivyo!Hivi ukiwa kiongozi ukatanguliza utu na hekima kuna gharama gani?
Kwanza makonda ajitokeze yeye mwenyewe mbele ya waandamanaji ili kuwapata hao harari zake asitume polisi wala mgambo.Huyu bwana kuna kauli ambayo mpaka leo wazalendo tunaitafakari nini hatima yake, "Atakayeandamana ni halali yangu" .Hii halali yake kapewa na nani? Kiongozi aliyepewa dhama ya kuwa mbele ya wananchi wenye itikadi mbali mbali unatamka kauli kama hii anamtisha nani?
Nashangaa sana viongozi wa dini wapo kimya kwenye kauli kama hizi, sijui wanafikiria nini, kwanini hakuna kiongozi hata mmoja wa kujitokeza na kukemea kauli kama hii? Viongozi wetu wa dini ni Mungu yupi wanaotuhubiria tumwabudu? Tuwaamini kwa lipi ilihali mambo muhimu kama haya wanaogopa kuyakemea? Wako nyuma ya nani?
Wanamuogopa nani?Nafasi yao kwenye amani ya taifa letu tulivu ni nini? Inauma sana kwakweli.
Ingekua hayo maneno kasema Yusufu makamba hao viongozi wa dini wangepiga keleleHuyu bwana kuna kauli ambayo mpaka leo wazalendo tunaitafakari nini hatima yake, "Atakayeandamana ni halali yangu" .Hii halali yake kapewa na nani? Kiongozi aliyepewa dhama ya kuwa mbele ya wananchi wenye itikadi mbali mbali unatamka kauli kama hii anamtisha nani?
Nashangaa sana viongozi wa dini wapo kimya kwenye kauli kama hizi, sijui wanafikiria nini, kwanini hakuna kiongozi hata mmoja wa kujitokeza na kukemea kauli kama hii? Viongozi wetu wa dini ni Mungu yupi wanaotuhubiria tumwabudu? Tuwaamini kwa lipi ilihali mambo muhimu kama haya wanaogopa kuyakemea? Wako nyuma ya nani?
Wanamuogopa nani?Nafasi yao kwenye amani ya taifa letu tulivu ni nini? Inauma sana kwakweli.
Utakuwa umeandika haya kabla ya kujua majukumu ya viongozi wa dini, labda nikusaidie tu ni kwamba,Unachosema ni sawa kauri nyingine siyonzuri na karibia tutazizoea sasa katika nchi yetu maana ni nyingi! lakini kuwalaumu viongozi wa dini siyo vizuri! Makonda yuko chini ya nani? Kiongozi wa dini aliyejaribu kuongea mambo mbalimbali tuliona alivyokuwa akiviziwa ili akamatwe, wakaahidi mpaka kutumia Interpol kumkamata kama vile alikuwa amefanya kosa lakupindua serikal!
Katiba yetu haiwapi mamlaka viongozi wa dini kuwakosoa viongozi kisiasa. huwa wanafanya hivyo kama raia wengine wanavyofanya wakijiegemeza kwenye moral rights na siyo legal rights. Kufanya hivyo hakuto walekebisha viongozi wetu ambao wameamua kufuata mlengo furani wa utawala hata kama unakinzana na katiba. Zaidi sana vataonekana ni wachochezi.
Yeye ndio mgumuMsameheni jamani basi kijana. Mwombeeni kwa Mungu apate hekima ya kuongoza Dar ed Salaam. Ni pagumu hapa
Kaka una clip yake unitumie inbox aliyozomewa? AsanteKitendo cha Jana kuzomewa mbele ya bosi wake tena kwenye mkutano wao wa kichama alipaswa kukaa chini na kujiuliza wapi anakosea.
Maana ingekuwa mkusanyiko wa kawaida angesema Vijana wametumwa na wapinzani lakini wale ni kijani wenzie. Namhurumia sana maana ule ni mwanzo tuu asije kuta anapigwa nyanya mbovu bure!
Nenda kayasemehe irani haya sisi huku tunajadiri siasa za Tanzania hatuwajui hao sumi au bhokoharamu!kwani mungu ameruhusu maandamano mpk uwashutumu viongozi wa dini? nadhani unajua kuwa sheikh akizungumza ni gaidi moja kwa moja alafu bado unalaumu tu au unapenda masheikh wanavyoitwa magaidi? kama ulikusudia viongozi wa dini ya kikristo ulitakiwa useme na sio tu kusema viongozi wa dini!!
THEN TUNAOMBA MUWEKE AKILINI "WAISLAMU HASA SUNNI HATUNA UGOMVI WALA CHUKI NA MTAWALA KTK NCHI HIVYO MAMBO YAKUTENGENEZA CHOKO CHOKO MUACHE" SIE WALA HATUSAPOTI UJINGA MAMBO YENU NA CHUKI ZENU ZA KISIASA HATUTAKI MUHUSISHE NA DINI YETU
Mgumu yeyeMsameheni jamani basi kijana. Mwombeeni kwa Mungu apate hekima ya kuongoza Dar ed Salaam. Ni pagumu hapa