HeheheheeeJana Tu Nime Type Txt Apa Ya Kumkubali Makonda Kuna Jamaa Alini Mind Kwa Matusi Namshukuru Mungu Kwa Maana Makonda Anazidi Kupata Heshima ,,, I Think Anafaa Kua Prime Minister ,,,
aisee!!Habari nzuri
Dar inaelekea kuwa kama Ulaya
Makonda oyeeeeeee
Swali la kitaalamu sana, hazifiki hata 4 mkuu.Kwanza kuna Shule ngapi ambazo hazina umeme miongoni mwa Shule zote za Dar?
Labda viwanja vya kujenga visima.Hala hala tu asichangishe walimu, make kwenye media anatangaza anafanya nyuma ya pazia anawakamua walimu....
Hivi vile viwanja vya walimu vipi tushanunua cement eti tunasubiri viwanja tu
Hivi lile la walimu kusafiri bure imefikia wapiHakuna kitu alichofanya kikafanyika Mpaka leo hii,haya kaingia kwenye umeme Ngoja tuone nayo...
Ova
Imefeli,ujenzi wa barabara umefeli,kupimaa afya kwa nsongamano pale mnazi Mmja umefeliHivi lile la walimu kusafiri bure imefikia wapi
Omba omba kawashindwaImefeli,ujenzi wa barabara umefeli,kupimaa afya kwa nsongamano pale mnazi Mmja umefeli
Ova
Ufipa nyumba zte umeme upo tangia enzi za bryson mbAtapitisha umeme na ufipa pia.
Unaharibu jina la mtu: Bryceson (Derek)Ufipa nyumba zte umeme upo tangia enzi za bryson mb
Ova
Wacha wee...Nashukuru sana kupata RC bora kuwahi kutokea Dsm tangu Dunia ianzishwe .