jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,140
- 29,670
Wabunge na madiwani wa UKAWA mlioko Dar "kuweni wastaarabu msijifanye wastaarabu"
Mh RC Paul Makonda ametoa agizo kwa watumishi wa umma na madiwani ambao kampuni zao zinahusika na usafi jijini Dar kunyang'anywa tender hizo mara moja kwani zina mgongano wa kimaslahi na ni kinyume na taratibu.
Huu ni mwiba mwingine kwa madiwani na wabunge maslahi waliozoea kujimegea mpunga wa manispaa za jiji na kuliacha jiji katika hali ya uchafu .
Mh RC Paul Makonda ametoa agizo kwa watumishi wa umma na madiwani ambao kampuni zao zinahusika na usafi jijini Dar kunyang'anywa tender hizo mara moja kwani zina mgongano wa kimaslahi na ni kinyume na taratibu.
Huu ni mwiba mwingine kwa madiwani na wabunge maslahi waliozoea kujimegea mpunga wa manispaa za jiji na kuliacha jiji katika hali ya uchafu .