mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Mkuu wa Mkoa Dar, Paul Makonda akihojiwa na Clouds Tv kwenye kipindi alichokiita Kikao cha Familia Dar chenye lengo la kupanga mikakati ya kifamilia kukabiliana na COVID19, amewataka watanzania walio nje ya mkoa wa Dar kubaki huko huko kwasababu Dar hali sio shwari na watu wanapukutika sana.