Niambie chaurongo...msomi wa kadi la kliniki. Mbwembwe nyiiiiingi kumbe ulizaliwa pori la akiba! Sasa unaona shida ya urongo? Huko ulikozaliwa mkunga wa kienyeji alitoa wapi kadi?Hee hee ee!HATIMAE UMEFUNGUKA HONGERA
Nyie watu mnanikera kweli kweli. Mbona mnajikombakomba?
Sisi WANAUME WA DAR, tulizaliwa OCEAN ROAD na MUHIMBILI na sio Bugando na mapori mengine ya akiba au sijui Same au Mwanga huko Store Mombasa au Kiruru Ibweijeiwa kwa kina
Mshana Jr
Kama Dar ulikuja wewe ni WAKUJA. Na kwa taarifa yenu, tumezaliwa chips tukiziona na hatuna ajabu nazo, SISI NDIO TUMEZIUMBA.
Nyinyi WAKUJA, mkifurumuka kutoka kwenye mapori ya akiba huko mkafika Dar kuja kuosha macho, hamtaki kurudi kwenu. Mkifika hapa mnafakamia chips mayai kwa pupa na kujisahau. Mnavaa nguo spesho kama waimba kwaya na wengine mnachangammmmmka kuliko sisi wenyeji wenu. Saa zote mna earphones masikioni hata tukiwapigia honi mtupishe hamsikii. Kitu mnachosikia haraka ni kengele za baiskweli.
Mwanaume wa Dar ni yule mzaliwa waDar na sio nyinyi mnaotujazia jiji kwa kuwa tu mtandao wa barabara za lami umeimarika.
Huko mlikotoka saa zote mkiwa mashambani na kwenye mapori yenu ya akiba mnashinda mkitafuna mzizi huu mara huu. Lkn mkija hapa mnatusingizia eti hatuamshi dude hadi kwa mizizi...hebu acheni urongo, hii mizizi inayoletwa huku na wamasai ni kwa ajili yenu. Mlikuwa mkiila mkiwa huko na sasa mmehamia mjini wenzenu wanawaletea muendelee kupona, lkn kwa kuwa mkija huku mnajibrand eti na nyie ni Walume wa Dar, basi mnatuchafua.
Mkuu nimezaliwa mjini nimekulia mtaani nazeekea porini SIO WOTE TUMEZALIWA MAPORI YA AKIBA! usikariri basi!Niambie chaurongo...msomi wa kadi la kliniki. Mbwembwe nyiiiiingi kumbe ulizaliwa pori la akiba! Sasa unaona shida ya urongo? Huko ulikozaliwa mkunga wa kienyeji alitoa wapi kadi?
Aisee wamefikia pabaya kwakweli,kama wanaume mnaanza kuunda vyama vya kuteteana, na wake zenu wafanyeje? MAMBO MENGINE MSIWE MNAYASEMA, NI YA AIBU!
Kweli kabisa watu walishakula marinda siku mingiKweli?
Hata avatar yako inasadifu wajihi wako. Umetoka pori la akiba la Mkoreha hukooo Tandahimba, umefika Dar unajiita Tupac...tunasingiziwa sisi.
Television zilianzia hapa mjini, hatuna jipya nazo. Kazi ipo kwa WAKUJA...mnavaa majaketi Dar na joto hili, bonge la kiatu na jeans nzito. Mnatutia aibu
Tozi tu wewe, mvaa nguo za dukani. Mkija town mnakurupuuuuuka na hereni, earphones na maviatu makubwaa huku mnanuka miguu. Wenyeji tunawaangalia tu.Ulitakiwa ata iyo avatar uibadilishe ujiite mwana mtoka pazuri tu. Hakuna mwanaume wa dar ambaye ni bad boy mtoka pabaya. Watoto wazuri tu nyieeee
Kumbe na wewe ni mvulana wa manzese?!! Ndiyo maana kichwani umejaa vumbi!Wanaume wa dar tunakula wali Nazi
Wa mkoani wanakula wali mavi.
Mkuu hapo kwny avatar umenigusa kidogo. Hanna MTU aliyezaliwa Dar akajiita tupac, Nelly. Ebu cheki avatar yako Mwana mtoka pabaya. Cheki na yangu Simba Songea..haya majina ya kizungu kwa wanaume wa Dar ni expiredHata avatar yako inasadifu wajihi wako. Umetoka pori la akiba la Mkoreha hukooo Tandahimba, umefika Dar unajiita Tupac...tunasingiziwa sisi.
Television zilianzia hapa mjini, hatuna jipya nazo. Kazi ipo kwa WAKUJA...mnavaa majaketi Dar na joto hili, bonge la kiatu na jeans nzito. Mnatutia aibu
Hata avatar yako inasadifu wajihi wako. Umetoka pori la akiba la Mkoreha hukooo Tandahimba, umefika Dar unajiita Tupac...tunasingiziwa sisi.
Television zilianzia hapa mjini, hatuna jipya nazo. Kazi ipo kwa WAKUJA...mnavaa majaketi Dar na joto hili, bonge la kiatu na jeans nzito. Mnatutia aibu
Mkee na wewe ni wa dar?Mkuu hapo kwny avatar umenigusa kidogo. Hanna MTU aliyezaliwa Dar akajiita tupac, Nelly. Ebu cheki avatar yako Mwana mtoka pabaya. Cheki na yangu Simba Songea..haya majina ya kizungu kwa wanaume wa Dar ni expired
HahaaaBashite ni kichwa Nazi kweli , ila huo upupu uliondika naona umemsingizia.