Mambo yaajabu yaliyojitokeza
- polomakonda kuita wabunge wezi mbele ya spika na rais...
- kuomba fedha wakati fedha ilishatolewaga bilioni 1.5....
- mkulu kukubali na kuagiza fedha zitoke bila kupewa taarifa fasaha...
- kudharau walopita kwamba hawakuweza kununua ndege na kuwacheka...
- kakobe kuonesha uchama bila kujua like nitukio la kitaifa.
Swali,kwanini tunasema tusibaguane kivyama sasa ni kazi sio siasa huku sisiemu wakishambulia wapinzani kila tukio la kitaifa likitokea