Makonda ataka majimbo matatu ya Kawe,Ubungo na Kibamba kwa mpigo

Maisha ni unafiki mtu anakuua na msibani anakuja. Dunia haipo sawa.
Na anaenda kuomba na kusamehewa, vitu ivi vimewafanya Watu kuwa wanyama tuu
 
Mambo yaajabu yaliyojitokeza
- polomakonda kuita wabunge wezi mbele ya spika na rais...
- kuomba fedha wakati fedha ilishatolewaga bilioni 1.5....
- mkulu kukubali na kuagiza fedha zitoke bila kupewa taarifa fasaha...
- kudharau walopita kwamba hawakuweza kununua ndege na kuwacheka...
- kakobe kuonesha uchama bila kujua like nitukio la kitaifa.
Swali,kwanini tunasema tusibaguane kivyama sasa ni kazi sio siasa huku sisiemu wakishambulia wapinzani kila tukio la kitaifa likitokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…