Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,490
- 7,090
Ni dhahiri wabunge wa upinzani Dar 2020 hawarudi bungeni. Na hivi miaka minne hawana airtime. Hawajaonyesha wamefanya nini majimboni kwao.
Kwa kawe hatoweza kumtoa Halima na Kibamba kule kwa Wachaga hatoweza kumtoa mnyika. Kwa upande wetu apa Ubungo anaweza akamtoa Kubenea maana sisi wakazi wa Ubungo tushavurugwa na maisha hatuangalii nani usoni, tunachotaka maendeleo sana sana barabara za mitahani, kwa iyo Kubenea tutampiga chini. Sisi ubungo tushavurugwa tunataka barabara za ndani fullstop aje atusaidie siasa za kipuuzi hatutaki. Kama siasa za ubungo, tulimkaanga Didas Masaburi na hatujapata maendeleo, itabidi tumkaange na kubenea tunaangalia maendeleo kwanza