Ujinga mtupu.
Huyu ni sehemu ya genge la wahalifu wanaojiita ccm
Zaidi ya miaka 60 wakishikilia maamuzi yote ya kijamii na kiuchumi wameshindwa kuwapatia Watanzania hata basic social needs kama vile umeme, maji, barabara, elimu.
Mjinga pekee ndiyo atawasikiliza hao majambazi.
Kingine, raia wa Tz punguzeni ujuha.
Unakuta mtu anatokwa jasho anakusikiliza hao wahuni.
Una akili wewe?