Bwana Jela
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 131
- 655
unafungua thread na kujijibu mwenyewe.Makonda ni kiongozi bora hana unafiki, michadema iliyozoea kuishi kwa unafiki tena mwaka huu mjiandae kurudia kwenye wizi magari
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi bora asiye na unafiki hajaijibu hoja ya Pompeo mpaka leo.Makonda ni kiongozi bora hana unafiki, michadema iliyozoea kuishi kwa unafiki tena mwaka huu mjiandae kurudia kwenye wizi magari
Sent using Jamii Forums mobile app
Wao huombea majanga yawafike Ccm tu
Haya Mungu anawapiga usoni Sasa, Malaika wenu wa chadema kauguliwa mmebaki mmeduwaa mmeona makonda Ndio pa kujificha
Sipati picha mtoto wa Magufuli Ndio angeugua wangesema kila aina ya Matusi kumtukana Rais
Ila wanaemwona ni Mungu wao huko chadema wamefikwa na janga
Chadema ni watu wasiojielewa wanataka nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo unatakaje??Makonda ni kiongozi bora hana unafiki, michadema iliyozoea kuishi kwa unafiki tena mwaka huu mjiandae kurudia kwenye wizi magari
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana wa Ufipa hawajawahi kutamani mlivyo jaliwa na Muumba kama misambwanda.Nyie chadema mnajiona hamna dhambi ni malaika
Kwenye hili Mungu anawakumbusha tu nyie ni binadamu km ilivyo ccm
Mtandaoni vijana wa ufipa walikuwa wanaombea ugonjwa uwadhuru Ccm tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wao huombea majanga yawafike Ccm tu
Haya Mungu anawapiga usoni Sasa, Malaika wenu wa chadema kauguliwa mmebaki mmeduwaa mmeona makonda Ndio pa kujificha
Sipati picha mtoto wa Magufuli Ndio angeugua wangesema kila aina ya Matusi kumtukana Rais
Ila wanaemwona ni Mungu wao huko chadema wamefikwa na janga
Chadema ni watu wasiojielewa wanataka nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndiyo think tanks za LumumbaKwa hiyo umeamka asubuhi kuandika thread ya kijinga hivi? huu ni ugonjwa hatari inawezekana hapo ulipo unao. Halafu ulichoandika huwa tunakiita impossible sentence. Mfano - if i were a bird i would fly.
Sasa mbona ana mtuhumu shoga?Pompeo linatetea mashoga na wauza madawa ya kulevya Hakuna haja ya kulijibu
Nyie fanyeni ushoga pompeo atawatetea
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hata sijaenda mbali, nimeiangalia title yake na kutaka mleta uzi anifafanulie haya:Makonda angetangaza mtu wa Ccm ameambukizwa corona, vijana wa ufipa wangesheherekea mwaka mzima
Makonda ni kiongozi bora hana unafiki, michadema iliyozoea kuishi kwa unafiki tena mwaka huu mjiandae kurudia kwenye wizi magari
Sent using Jamii Forums mobile app