Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Mwana-Chadema Technically aliomba corona ije iangamize Tanzania.Wao huombea majanga yawafike CCM tu.
Haya Mungu anawapiga usoni Sasa, Malaika wenu wa CHADEMA kauguliwa mmebaki mmeduwaa mmeona Makonda ndio pa kujificha.
Sipati picha mtoto wa Magufuli Ndio angeugua wangesema kila aina ya Matusi kumtukana Rais.
Ila wanaemwona ni Mungu wao huko chadema wamefikwa na janga.
CHADEMA ni watu wasiojielewa wanataka nini.
Kuna makundi ya vijana yalikuwa yanaomba corona ije Tanzania tena iwadhuru Viongozi tu
Sent using Jamii Forums mobile app