Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,047
Mimi nauliza swali moja hapo. Kwa nini vijana wengi (kama ulivyosema) wanawaombea viongozi waumwe,wafikwe na majanga?. Inakuweje tofauti na mataifa mengine kama Botswana, USA,UK n.k, huko vijana wanawaombea kwa dhati viongozi wao, wako tayari hata kuwapigania?. Kuna tatizo gani kubwa lipo kati ya wananchi na viongozi?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app