Makonda anamdhalilisha Mbunge wa CCM Mbele ya Naibu Waziri Mkuu na wananchi

Makonda anamdhalilisha Mbunge wa CCM Mbele ya Naibu Waziri Mkuu na wananchi

Sheria Step

Member
Joined
Apr 22, 2025
Posts
9
Reaction score
4
The government is on Autopilot ??

Yani Mkuu wa mkoa kutoka chama cha Mapinduzi CCM Mbele ya Naibu Waziri Mkuu anamdhalilisha Mbunge wa Chama cha Mapinduzi CCM Mbele ya wananchi huku Vyombo vya habari vikiwa Live 🧎🏽‍♂️hii ni mara ya pili .

1.Je Makonda ni nani??
2. Makonda anamamlaka gani Juu ya Mbunge ?
3. Unawezaje kuwatofautisha kwa Tabia za kikatili wote wawili wakiwa wakuu wa Mikoa Makonda Dar es Salaam na Mrisho Gambo akiwa Arusha ?? Hawa wote walifanya uonezi wa kutisha ilifika Kipindi Mpaka Marekani iliingilia kati kwa kumwekea vikwazo Paul Makonda.
4. Watoto na Vijana wenye ndoto za kuwa wakuu wa Mikoa na Wabunge wanajifunza nini??
Kwanini serikali haiwachukulii hatua kwa impunity hii inayoonyeshwa Mbele ya umma ??
 
Inasikitisha kwa kweli...hao ndiyo viongozi wetu
 
hii arrogancy inaweza ikamfanya wajumbe wapinge spanner tena kama 2020 Kigamboni
 
Amem
The government is on Autopilot ??

Yani Mkuu wa mkoa kutoka chama cha Mapinduzi CCM Mbele ya Naibu Waziri Mkuu anamdhalilisha Mbunge wa Chama cha Mapinduzi CCM Mbele ya wananchi huku Vyombo vya habari vikiwa Live 🧎🏽‍♂️hii ni mara ya pili .

1.Je Makonda ni nani??
2. Makonda anamamlaka gani Juu ya Mbunge ?
3. Unawezaje kuwatofautisha kwa Tabia za kikatili wote wawili wakiwa wakuu wa Mikoa Makonda Dar es Salaam na Mrisho Gambo akiwa Arusha ?? Hawa wote walifanya uonezi wa kutisha ilifika Kipindi Mpaka Marekani iliingilia kati kwa kumwekea vikwazo Paul Makonda.
4. Watoto na Vijana wenye ndoto za kuwa wakuu wa Mikoa na Wabunge wanajifunza nini??
Kwanini serikali haiwachukulii hatua kwa impunity hii inayoonyeshwa Mbele ya umma ??
Amemdhalilisha kivipi? Naona umeishia kulalamika tu hujasema huo udhalilishaji!
 
Kajidhalilisha mwenyewe bungeni kukiri ni muongo na mfitini,huyo RC kaamua tu kuweka kumbukumbu sawa!

Alipoibua hiyo kashfa bungeni,mtu wa kwanza kunyoshewa kidole alikuwa huyo RC,mbona mayowe yamezidi baada ya count attack?
 
Back
Top Bottom