ulimi waupanga
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 470
- 1,162
Naomba ufafanuzi kidogo maana naona siku hizi makinikia yetu yanasombwa tu kama mwanzo yaani ni msururu wa makontaina kila baada ya siku kama 5 yanabebwa zaidi ya kontaina 100.
Watu wa apa Kakola tunajiuliza je ile smelter ya Dodoma ilishajengwa au yanapelekwa kule kule kwa mabeberu?
Na je kama yanasafirishwa kama zamani zile kilo za dhahabu tulizoambiwa zinaibiwa Kwenye ayo mamchanga tumeamua ziendelee kuibiwa?
Tafadhali mwenye ufafanuzi katika hili!
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa apa Kakola tunajiuliza je ile smelter ya Dodoma ilishajengwa au yanapelekwa kule kule kwa mabeberu?
Na je kama yanasafirishwa kama zamani zile kilo za dhahabu tulizoambiwa zinaibiwa Kwenye ayo mamchanga tumeamua ziendelee kuibiwa?
Tafadhali mwenye ufafanuzi katika hili!
Sent using Jamii Forums mobile app