The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,636
- 1,862
Juzi kuna jamaangu aliona TV 50” inauzwa 550,000 zanzibar,
Alishawishika sana na kuniuliza kama akiagiza itafika salama,nilimcheka sana na nikamwambia kama usingekutana na mimi ungekua unalia wakati huu
Hao watu wanatumia kigezo cha wao kuwa mbali ili tu utume pesa
Alishawishika sana na kuniuliza kama akiagiza itafika salama,nilimcheka sana na nikamwambia kama usingekutana na mimi ungekua unalia wakati huu
Hao watu wanatumia kigezo cha wao kuwa mbali ili tu utume pesa
YENYE NGUVU KUBWA ZAIDI , UTAWEZA KUTEMBELEA HADI KILOMETER 120-150 BILA KUSUMBUKA / UNAWEZA KUTUMIA MIFUMO YOTE KWA KUKANYAGA PEDAL AU KUENDESHA KWA UMEME TUPIGIE
LEO TUKUHUDUMIE AU TUMA UJUMBE KWA NJIA YA WHATSAPP NO 0755837542/ OFFER YA USAFIRI 
ZANZIBAR PEMBA KIUYU

