The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,678
- 1,943
Juzi kuna jamaangu aliona TV 50” inauzwa 550,000 zanzibar,
Alishawishika sana na kuniuliza kama akiagiza itafika salama,nilimcheka sana na nikamwambia kama usingekutana na mimi ungekua unalia wakati huu
Hao watu wanatumia kigezo cha wao kuwa mbali ili tu utume pesa
Alishawishika sana na kuniuliza kama akiagiza itafika salama,nilimcheka sana na nikamwambia kama usingekutana na mimi ungekua unalia wakati huu
Hao watu wanatumia kigezo cha wao kuwa mbali ili tu utume pesa