Erasto..sichila
Member
- Apr 9, 2012
- 78
- 8
Makinda spika wa bunge letu ni spika asiye elewa wakati wote hisia za wananchi yeye maamuzi yake mengi huwa ni jinsi anavyo hisi basi ,tafakuri kwake no daima ni mama wa kupinga hata hisia za wananchi anaposhindwa kabisa hupenda kuonyesha hisia zake kuanza kufoka na hata kujisahau akatukana namuomba aelewa hicho cheo sio chake ni cha watanzania na asipo angalia atakuwa spika wa ovyo tangia uhuru atajitengenezea Cv chafu ya uongozi wa bunge hivyo namushauri apitishe hoja ya zito hiyo asubuhi ameshindwa muda wa ratiba apange ratiba ya hoja hiyo ninacho fahamu kwa upeo wake ataanza kufoka ovyo kisingizio muda hakuna na anamupa muda waziri mkuu atoe hotuba ya kufunga bunge mengine ukweli tunaombwe la uongozi wa bunge 'vaccum'yaani tabu hatutapata utendaji bora hata kidogo 'twafwa'