Makazi ya Rais yako wapi?

Makazi ya Rais yako wapi?

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2009
Posts
2,975
Reaction score
3,436
Inawezekana watu wengi hatuna uelewa na suala hili,
kuna ubishi unaendelea hapa juu ya familia ya rais wa tanzania inaishi wapi, wapo wanaosema anaishi ikulu na wapo wanaosema anaishi kwenye nyumba yake hapo upanga.
Je mwenye uelewa makazi ya rais wa jmt yako wapi?
 
Inawezekana watu wengi hatuna uelewa na suala hili,
kuna ubishi unaendelea hapa juu ya familia ya rais inaishi wapi, wapo wanaosema anaishi ikulu na wapo wanaosema anaishi upanga.
Je mwenye uelewa makazi ya rais yako wapi?

Endeleeni kubishana! Kwani hamjui wapi alipigia kura? Huko ndo makazi yake yalipo!!!!!
Ikulu ni ofisi ya rais
 
Inawezekana watu wengi hatuna uelewa na suala hili,
kuna ubishi unaendelea hapa juu ya familia ya rais inaishi wapi, wapo wanaosema anaishi ikulu na wapo wanaosema anaishi upanga.
Je mwenye uelewa makazi ya rais yako wapi?

Mnataka kufanya uhaini ee? Aya mkimaliza kubishana uje na sababu au Chanzo cha ubishi wenu.
 
Nilichokiona hapa kuwa wengi hatufahamu yalipo makazi ya rais na familia yake!
 
Nilichokiona hapa kuwa wengi hatufahamu yalipo makazi ya rais na familia yake!
Halafu ukifahamu makazi ya Rais ndio itakuwaje? Unapata cheti au tuzo? BTW, ni Rais gani na wa nchi gani unayemuongelea? Kama ni Rais wa kwanza wa Tz makazi yake yalikuwa/yako Msasani na Butiama, kama ni Rais wa pili makazi yake yako Msasani/Mikocheni, kama ni Rais wa tatu makazi yake yako Lushoto na Mtwara, kama ni Rais aliyepo madarakani basi chagua jibu sahihi kati ya haya:-
(a) Angani (yaani kwenye ndege)
(b) Nje ya mipaka ya Tanzania (ambako hata sasa yuko huko)
(c) Msoga, Bagamoyo
(d) Dar, karibia na ofisi za Engender Health Morocco
(e) Ikulu, Dsm
(f) None of the above
 
Halafu ukifahamu makazi ya Rais ndio itakuwaje? Unapata cheti au tuzo? BTW, ni Rais gani na wa nchi gani unayemuongelea? Kama ni Rais wa kwanza wa Tz makazi yake yalikuwa/yako Msasani na Butiama, kama ni Rais wa pili makazi yake yako Msasani/Mikocheni, kama ni Rais wa tatu makazi yake yako Lushoto na Mtwara, kama ni Rais aliyepo madarakani basi chagua jibu sahihi kati ya haya:-
(a) Angani (yaani kwenye ndege)
(b) Nje ya mipaka ya Tanzania (ambako hata sasa yuko huko)
(c) Msoga, Bagamoyo
(d) Dar, karibia na ofisi za Engender Health Morocco
(e) Ikulu, Dsm
(f) None of the above

Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1 hapo kwenye nyekundu sina mbavu, na ndipo lilipo jibu sahihi.
 
Halafu ukifahamu makazi ya Rais ndio itakuwaje? Unapata cheti au tuzo? BTW, ni Rais gani na wa nchi gani unayemuongelea? Kama ni Rais wa kwanza wa Tz makazi yake yalikuwa/yako Msasani na Butiama, kama ni Rais wa pili makazi yake yako Msasani/Mikocheni, kama ni Rais wa tatu makazi yake yako Lushoto na Mtwara, kama ni Rais aliyepo madarakani basi chagua jibu sahihi kati ya haya:-
(a) Angani (yaani kwenye ndege)
(b) Nje ya mipaka ya Tanzania (ambako hata sasa yuko huko)
(c) Msoga, Bagamoyo
(d) Dar, karibia na ofisi za Engender Health Morocco
(e) Ikulu, Dsm
(f) None of the above

Like kubwa.
 
Hahahahahaa Unapata wapi muda wa kubishania vitu visivyo na tija kwa wananchi,kwanza ni Rais yupi unamuongelea,,maana kuna rais wa TFF,CWT rais wa manzese ww unamzungumzia yupi???
 
Hahahahahaa Unapata wapi muda wa kubishania vitu visivyo na tija kwa wananchi,kwanza ni Rais yupi unamuongelea,,maana kuna rais wa TFF,CWT rais wa manzese ww unamzungumzia yupi???

Huyu anazungumzia rais wa madaktari wa Tanzania, huyu hata mimi sijui anakokaa na kama nikipajua ntamuibukia nimuulizie lile sakata la mgomo wao limeshia wapi maana naona siku zinakwenda na utulivu umechukua mkondo wake.
 
Hahahahahaa Unapata wapi muda wa kubishania vitu visivyo na tija kwa wananchi,kwanza ni Rais yupi unamuongelea,,maana kuna rais wa TFF,CWT rais wa manzese ww unamzungumzia yupi???

raisi wa watuma salamu, raisi wa wasafi, raisi wa wacheza filamu. . embu kuwa wazi.
 
Back
Top Bottom