A
Anonymous
Guest
Mimi ni ajira mpya mwezi wa 10 Halmashauri ya Mbogwe, nilikopa kupitia ESS mkopo wa Shilingi Milioni 10 kwa miaka 8 kufanyia biashara ya madini bahati mbaya nimefeli.
Kinachoniumiza kwa sasa ninapokea mshahara kidogo baada ya makato nawaza hiyo miaka 8 nitaishi vipi?
Ninatembea naongea peke yangu kama kichaa sasa sielewi hata nifanye nini, nikiwashirikisha ofisini ninajua wataanza kunisema badala ya kunishauri.
Natamani kuwauliza watumishi wa umma hii hali inatatuliwa vipi?
Kinachoniumiza kwa sasa ninapokea mshahara kidogo baada ya makato nawaza hiyo miaka 8 nitaishi vipi?
Ninatembea naongea peke yangu kama kichaa sasa sielewi hata nifanye nini, nikiwashirikisha ofisini ninajua wataanza kunisema badala ya kunishauri.
Natamani kuwauliza watumishi wa umma hii hali inatatuliwa vipi?