Winners Tips Tz
Member
- Dec 6, 2017
- 29
- 19
Wadau naomba kuhabarishwa malipo ya facebook ads yanakuwaje? Je unaweza kutangaza ukiwa hauna hela? Wanakata pesa kabla ya tangazo au baada ya tangazo?
Ahsante mkuuPrepaid ads hiyo, unachagua plan yako,siku nyingi amount inapungua kidogo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuuunaweza kuweka ad hata kama huna salio, wao wanacharge mwisho wa siku tangazo au budget ikifika kikomo... na kama kwenye akaunti huna salio, basi hutoweza kueka tangazo jengine mpaka uwalipe
Nyongeza, ahakikishe anaweka kikomo, manake anaweza kutana na deni hilo asiamini macho yakeunaweza kuweka ad hata kama huna salio, wao wanacharge mwisho wa siku tangazo au budget ikifika kikomo... na kama kwenye akaunti huna salio, basi hutoweza kueka tangazo jengine mpaka uwalipe