Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,245
- 2,856
Wakuu naombeni msaada wenu nimefanya mhamala wa kuhamisha pesa kutoka kwenye accaunt yangu ya NMB Saa mbili na asubuhi kiasi cha tsh400000, lakin hadi sasa hela bado haijasoma mpesa. niliwapingia simu voda wakaniambia niwasaliane na NMB.. Wakanipa namba 0764700500 na, 0800112233 nilipowapingia wakaniambia kunamatatizo kwenye NMB MOBILE, lakini mihamala ambayo imekamilika itasomeka baada ya masaa matatu. na kila nikipanga naambiwa itakamilika baada ya masaa matatu.
chakusikitisha zaidi hadi sasa yamepita masaa tisa na hela bado haijasoma mpesa. na nimeenda kwenye atm machine za NMB nikakuta salio limepungua ile laki nne haipo.
siku yangu imeisha vibaya sana kwa leo maana mambo yangu yote yamesimama, nilikuwa na mpango wa kutuma hela kwa watu ili kukamilisha maswala yangu. sasa wale watu wameniona mimi nitapeli maana toka asubuhi nawaahidi nitawarushia baada ya dakika chache.
wadau naomben msaada wenu nifanyaje? kwa sasa.
NB Asanten sana kwa wale muliotia moyo muamala umekamila sasa hv saa 21:26
chakusikitisha zaidi hadi sasa yamepita masaa tisa na hela bado haijasoma mpesa. na nimeenda kwenye atm machine za NMB nikakuta salio limepungua ile laki nne haipo.
siku yangu imeisha vibaya sana kwa leo maana mambo yangu yote yamesimama, nilikuwa na mpango wa kutuma hela kwa watu ili kukamilisha maswala yangu. sasa wale watu wameniona mimi nitapeli maana toka asubuhi nawaahidi nitawarushia baada ya dakika chache.
wadau naomben msaada wenu nifanyaje? kwa sasa.
NB Asanten sana kwa wale muliotia moyo muamala umekamila sasa hv saa 21:26