Wameanza na kuleta simanzi kuna watu hawaambulii chochote mwisho wa mwezi ukizingatia walikuwa na mikopo benki na vikoba kuna marejesho
Kuna wengine hawaambulii chochote kwa sababu walifanya dili na wakuu wa idara wakaenda kusomea Makerere na wengine ESAMI sasa wameletewa makato
Ukiona magari yamepungua barabarani na watoto wamepungua kwenye school bus za njano ujue ni 15%
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.