Makarani wa Sensa kuvuna Kitita?

Makarani wa Sensa kuvuna Kitita?

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,105
Zikiwa zimebaki siku kadhaa kufunga zoezi la kupokea maombi. Nataarifiwa kuwa makarani wameandaliwa Kitita cha maana. Hii haijawahi kutokea tokea kuumbwa kwa ulimwengu. Huku Anwani za makazi, huku Sensa. Vijana tuchangamkie pesa hiyo

images - 2022-05-23T073127.244.jpeg
 
Inategemeana na halmashauri uliyopo.

Kuna baadhi ya sehemu ile ya makazi hawakulipwa kama ilivyoahidiwa.

Hii nchi hii sijui kama upigaji utaisha, huyu alieminywa kwenye makazi nae akipata cheo atapiga parefu kufidia hasira zake na chain itaendelea hivyo hivyo. Ukipata nafasi pigaaa
 
Inategemeana na halmashauri uliyopo.

Kuna baadhi ya sehemu ile ya makazi hawakulipwa kama ilivyoahidiwa.

Hii nchi hii sijui kama upigaji utaisha, huyu alieminywa kwenye makazi nae akipata cheo atapiga parefu kufidia hasira zake na chain itaendelea hivyo hivyo. Ukipata nafasi pigaaa
Kweli kabisa, kuna watu wa halmashauri fulani walipigishwa kazi ila hawajalipwa mpaka sasa...
 
Back
Top Bottom