Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,322
- 68,399
Sijajua ila jamaa asingekufa pengine angeweka wazi akina nani walimtuma kufanya mauaji yale.kwann alimuua
Kwani Dube aliua?Ukiua kwa upanga nawe utauwawa kwa upanga
Aisee na huwezi kujua kama ana 66yrsAmegonga 66 yrs sasa
Ahsante mkuuAsante dikteta, nawe siku njema
Cha kusikitisha zaid 1968 mdogo wake na yeye akauwawa tena.Ila JFK alihujumiwa wazi wazi kabisa, kwanini hapakuwa na walinzi wa pembeni siku ya tukio?
Eti tutaipiku dubai, maajabu sana[emoji2] wale si wameshatabiri kuwa level zetu sasa hv ni Dubai
Bado yuko fitAisee na huwezi kujua kama ana 66yrs
Inasadikika alimuua mpiga drum wake baada ya kujitenga nayeKwani Dube aliua?
Hayo yote hayakutokea kwa bahati mbaya. It was planned.Cha kusikitisha zaid 1968 mdogo wake na yeye akauwawa tena.
Hivi kuna jiji lolote hapa nchin lina muonekana wa amna hii kama Dubai?Eti tutaipiku dubai, maajabu sana
1960 - Jean Claude Van Damme anazaliwa.
Ni actor wa filamu kutoka huko nchini Ubelgiji.
Baadhi ya kazi zake ni Double Impact, Universal Soldiers, No way to run, The hard target.
Yah! Hapa inaonekana mdogo wake Kennedy aliwafahamu fika wauaji waliomuua kaka yake.Hayo yote hayakutokea kwa bahati mbaya. It was planned.
Ikumbukwe Robert F. Kennedy alikuwa ndio Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya kaka yake.
Hivyo alijua siri nyingi, alipoamua kuwania Urais wakaona mambo yatafichuka. Wakammaliza.
Kuna mtu anaitwa Edgar J. Hoover ( Mkurugenzi wa FBI ) anatajwa sana katika mauaji ya ndugu hao. Pia Makamu wa Rais naye ametajwa sana.
Kigoma [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hivi kuna jiji lolote hapa nchin lina muonekana wa amna hii kama Dubai?View attachment 420026
1974 - Robbie Savage anazaliwa.
Ni mchezaji wa kiungo wa zamani wa Man Utd, Leicester city, Blackburn Rovers na timu ya taifa ya Wales.
Alisifika kwa ubabe wake na ni mmoja ya wachezaji wakorofi kuwahi kucheza EPL.
Urais wa nchi kama Marekani ni shida tupuHayo yote hayakutokea kwa bahati mbaya. It was planned.
Ikumbukwe Robert F. Kennedy alikuwa ndio Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya kaka yake.
Hivyo alijua siri nyingi, alipoamua kuwania Urais wakaona mambo yatafichuka. Wakammaliza.
Kuna mtu anaitwa Edgar J. Hoover ( Mkurugenzi wa FBI ) anatajwa sana katika mauaji ya ndugu hao. Pia Makamu wa Rais naye ametajwa sana.
Siku hizi hushushi nondo inaonekana umeridhika na sifa za siku mbiliDiamond mtoto wa juzi kamzidi utajiri Baba yangu aliyezaliwa kitambo....kutangulia sio kufika
[emoji86] [emoji117] [emoji40] [emoji40] [emoji116]Kigoma [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
yaan nakuwaga bize pia na kujisahau,nilitafuta emoj store kwenye PC mpaka nimeipata sasa ni mwendo wa kutumia tu,ila leo nitaendelea mkuuSiku hizi hushushi nondo inaonekana umeridhika na sifa za siku mbili
Kutoka mzee wa nondo hadi kuwa mzee wa kupost emoji
.................
1933 - Dante anazaliwa.
Ni beki wa kati wa zamani wa klabu za Bayern Munich, Wolfsburg na sasa Nice ya Ufaransa.
Pia huchezea timu ya taifa ya Brazil.