Makapuku Forum

Marvin alikuwa anagombana sana na baba yake mara nyingi...alikuwa anahisi kama hawi appriciated na huyo mzazi wake maana baba yake alikuwa anaona kama Marvin amepotea baada ya kujitenga kidogo na kanisa na kufanya muziki, Marvin alijaribu kujiua mara kadhaa tu before baba yake hajamuua pia alikuwa ni mtumiaji mzuri tu wa dawa za kulevya aliamini zilikuwa zinamsaidia kuondoa msongo wake wa mawazo, wala hakuwa shoga hizo ni tetesi za mitaani za kidaku tu, na siku aliyouawa aliingilia ugomvi wa wazazi wake na nadhani kama yule mzee asingemuwahi Marvin nadhani kesi ya mauaji ingekuwa ya kwake.
Cc: Quigley
 

Hii tabia ya kusingiziana ushoga siyo nzuri.....wengi tunakerwa na ushoga
Inaongeza chuki na kushusha heshima ya mwanaume

Ndio maana Dikteta hasema tu alibishana na mzazi wake kuliko angemsingizia wkt hana uhakika

Nimesoma historia yake chanzo ni jina tu la GAY(shoga) ambalo ndo orijino inasemekana waliamua kuongeza E hivyo ikawa GAYE

Yy na mzee wake wote walihusishwa na ushoga kutokana na jina lao tu la GAY na hakuna mtu yoyote aliyewahi kuprove kwamba ni mashoga

Hata mimi binafsi mara ya kwanza kusikia jina la Marvin Gaye lilinipa ukakasi
.......
 
Marvin Gaye (/ɡeɪ/;[1] born Marvin Pentz Gay Jr.; April 2, 1939 – April 1, 1984)[2] was an American singer, songwriter and record producer. Gaye helped to shape the sound of Motown in the 1960s, first as an in-house session player and later as a solo artist with a string of hits, including "Ain't That Peculiar", "How Sweet It Is (To Be Loved By You)" and "I Heard It Through the Grapevine", and duet recordings with Mary Wells, Kim Weston, Diana Ross and Tammi Terrell, later earning the titles "Prince of Motown" and "Prince of Soul"
hapo kwenye red sijui ni kweli au wamesahau kumaliza E
 
Ndo hivyo mwana hata huku Bongo kuna majina mabaya
Kuna akina
Mboo
Tembo
Kenge
Kinembe n.k
Hivyo waliponzwa tu na jina la GAY wakaona isiwe tabu wakaongezea E ikawa GAYE

Hata jina la BITOZ wapo wanaolochukulia ni la wanaume wa Dar wavaa shanga
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…