Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,334
- 68,404
Pia kuna Portsmouth ( Pompey ) nao walisumbua.Ht Middlesbrough (Boro) kuna kipindi walisumbua EPL
.........
Chura sio kigezo pekee, pamoja na tabiaAna Churaaa
Mwangalie kesho jioni kwenye ze baseJina tafadhali
Papa Diop ilikuwa machine aiseePia kuna Portsmouth ( Pompey ) nao walisumbua.
Walikuwa na majemedari kama;
David James
Glen Johnson
Sol Campbell
Papa Bouba Diop
Pedro Mendes
Jermain Defoe
Sulley Muntari
Na Wengineooo...
Bolton ya Jay Jay Okocha, Radhi Jaidi, Ivan Campo, Kevin Nolan, Kevin Davies, Juus Jaasklainen, Walisumbua sana.Middle hawawezi kuwafikia Blackburn lovers na Botton wanderlas, hizi timu zilikuwa kiboko
Davies ilikuwa ni shida aisee kwa mipira ya juu na fujoBolton ya Jay Jay Okocha, Radhi Jaidi, Ivan Campo, Kevin Nolan, Kevin Davies, Juus Jaasklainen, Walisumbua sana.
Blackburn ya Morten Gamst Pedersen, Chris Samba, Robbie Savage, Golikipa yule kipara toka Marekani, Na wengineooMiddle hawawezi kuwafikia Blackburn lovers na Botton wanderlas, hizi timu zilikuwa kiboko
Middle walikuwa vizuri san, walikuwa na watu kama Mark Schwarzer, Jonathan Woodgate, George Boateng, Stewart Downing, Mark Viduka.
kwanzia saa ngapi?Mwangalie kesho jioni kwenye ze base
Baadaye alikuja MendietaBlackburn ya Morten Gamst Pedersen, Chris Samba, Robbie Savage, Golikipa yule kipara toka Marekani, Na wengineoo
FIDELBlackburn ya Morten Gamst Pedersen, Chris Samba, Robbie Savage, Golikipa yule kipara toka Marekani, Na wengineoo
Baadae wakati jahazi linarlkea kuzama walikuwepo akina Chimbonda, David Bentley.Baadaye alikuja Mendieta
Daah we The book unanikumbusha sana Szcny a.k.a field marshall [emoji17][emoji17][emoji17].MARAIS 10 BORA KUTOKA AFRIKA(ALL TIME GREAT PRESIDENTS)
10.Ellen Johnson-Sirleaf;Rais wa Liberia pia ni wa kwanza Mwanamke barani Afrika,alichaguliwa mwaka 2005.anasifika kwa kurudisha amani baada ya vita nchini humo,alishinda tuzo ya amani ya Nobel mwaka 2011.
Mpaka leo ndio anaongoza kwa kadi za njano.Davies ilikuwa ni shida aisee kwa mipira ya juu na fujo
Poa....ntategesheaMwangalie kesho jioni kwenye ze base
Alicheza mpaka Real Madrid japo alichemsha.
MARAIS 10 BORA KUTOKA AFRIKA(ALL TIME GREAT PRESIDENTS)
10.Ellen Johnson-Sirleaf;Rais wa Liberia pia ni wa kwanza Mwanamke barani Afrika,alichaguliwa mwaka 2005.anasifika kwa kurudisha amani baada ya vita nchini humo,alishinda tuzo ya amani ya Nobel mwaka 2011.
Mchana nilikuwa naangalia game ya man na liver Enzi za kina song, baadaye arsenal na Man Enzi za Viera na RoyBlackburn ya Morten Gamst Pedersen, Chris Samba, Robbie Savage, Golikipa yule kipara toka Marekani, Na wengineoo