Baraka juu yako jimenaView attachment 381315View attachment 381316
Asante sana Ferrari kwa udhamini mnono kabisa asubuhi ya leo....
Niite Jimena Jimenes, sina la ziada bali nawatakia jumapili njema wote
True, afu jamaa anaachia beat kwanza kwa muda unaweza jua ni instrumentalHao ndio ma legends nyimbo zao hazichuji...[emoji4]
Naona hizo nguo za safari hii kila mtu zinakatikia maeneo ya ikulu tuBalaa mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naona hizo nguo za safari hii kila mtu zinakatikia maeneo ya ikulu tu
Mfano ile track yake inaitwa "Love zone" daaah ni hatari...inaanza kama instrumental aisee then ndo anaanza kuimbaTrue, afu jamaa anaachia beat kwanza kwa muda unaweza jua ni instrumental
Tupo tu, dar Leo jua hamnaNi njema sana shululu, vp pande hizo mnatunyima nini?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] yote kwa yote wacha watupe burudani tu mana hizo nazo ni burudani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hali ya hewa kama hiyo dar afu na ni wkend.. Hapo nyumba za wageni zitakua zimejaa bila shaka [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Tupo tu, dar Leo jua hamna
Dah kumbe unaipata na hiyo? Kweli we ni mdau wa hizi ngoma... Masongi ya dizaini hiyo ndo yalinifanyaga mpaka nikaanza kuskiza na miondoko ya mozartMfano ile track yake inaitwa "Love zone" daaah ni hatari...inaanza kama instrumental aisee then ndo anaanza kuimba
Napenda sana, nikiwa naskiliza nikinogewa najikuta nacheza [emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23] .Dah kumbe unaipata na hiyo? Kweli we ni mdau wa hizi ngoma... Masongi ya dizaini hiyo ndo yalinifanyaga mpaka nikaanza kuskiza na miondoko ya mozart
Dah natamani nkuone ukidance [emoji4][emoji4], zaman kulikua na mafundi wa mziki ati... Mziki wa sa ivi ni dizaini ya 'chewing gum' unaskiza ngoma baada ya mda mfupi unatamani mpyaNapenda sana, nikiwa naskiliza nikinogewa najikuta nacheza [emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23] .
Ukitaka kujua nyimbo za zamani ziko poa, wasanii wengi wa music industry wa sasa wanachukua vionjo flani kutoka kwenye nyimbo za zamani.
Muheshimiwa Waziri, lewo uko wapi bhana?Mrng mzee wa parii
[emoji15] [emoji15]Shem jumapili njema kabisa, sijaenda Church af kuna mtu kapost picha hapo imenigusa[emoji25]
Mi naupenda wimbo wake unaoitwa SuddenlyBilly ocean (Leslie Sebastian Charles) ni m Trinidad mu English anayeimba nyimbo miondoko ya R&B kimataifa, alitamba sana miaka ya 80. Alikuwa akiimba na pia mtunzi wa nyimbo katikati ya miaka ya 80. Alizaliwa Januari 21, 1950 (Ana miaka 66) huko Trinidad and Tobago. Aliingia kwenye Uk top 20, Ikiwemo na namba 3 kali za marekani. Mwaka 1985 alipata tuzo ya grammy kwa kuwa mwanamuziki bora wa kiume wa miondoko ya R&B na mwaka 1987 alichaguliwa kupewa tuzo ya Brit kwa kuwa mwanamuziki bora wa kiume Uingereza, pia alipata tuzo nyingine nyingi kutokana na umahiri wake katika kutunga nyimbo zake mwenyewe. Ni mshiriki wa imani za ki Rastafari. Alitamba sana na kibao chake maarufu kinachoitwa CARRIBEAN QUEEN ( NO MORE LOVE ON THE RUN) Wimbo huu aliuandika mwenyewe na ulishika namba 1 katika Billboard hot 100 na Black singles chart huko marekani, na namba 6 katika UK single chart mwaka 1984. Wimbo huo ulimpatia tuzo ya akiwa ni mwanamuziki pekee wa Uingereza kupata tuzo hiyo.
Asante sanaNimechemka kuweka video hapo ila huyo ndiyo Billy ocean, Asanteni mburudike na weekend njema!! [emoji120] . Asanteni Makapuku wote
Sweetie pie.
Miss youMmeshindaje familia ?!!
Suddenly life has new meaning to me....daah Jimenna na wewe ni Mkali aiseeMi naupenda wimbo wake unaoitwa Suddenly