Makapuku Forum

 
 
FIX ZA BITOZ VII:
Nakumbuka enzi hizo nikiwa dogo huku Mabibo Beach tulikuwa na mchezo wa kuchanganya thumni na shilingi mia muda wa usiku ili tukamuibie vitumbua mama K
Sasa bhana za mwizi ni 40 siku zote Mama K butumia Kibatari ila siku hiyo tunaenda kumbe alikuwa na tochi ....sasa msela nikampa sumni zen akaniambia Bitoz leo nakupa na nyongeza sasa wkt najiuliza si nikashtuka navutwa kipensi changu duh kumbe hela aliimulika na tochi
Kilichofuata ni kula mbata hadi home nako dingi akanipa makonzi ya kufa mtu na shule sikwenda week nzima kwa aibu coz niliitwa Bitoz mwizi wa vitumbua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Duh nilikoma na kuacha wizi kabisa
..............
 
Hahaa.. Nishatenda sana huu ujinga..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…