Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1976 - Makomandoo wa Jeshi la Israel wanafanikiwa kuwaokoa mateka wa Israel waliokuwa wametekwa na Wapalestina baada ndege waliyokuwa wamepanda kutekwa na kupelekwa Entebbe Uganda kwa Idi Amin.

Katika Operesheni hiyo maarufu kama " Operetion Entebbe " Makomando hao walifanikiwa kuokoa mateka wao kwa muda wa dakika 90 bila vyombo vya usalama vya Uganda kufahamu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…