[emoji2] ee tunaendelea dadaa..Endeleeni tu mi naleas
Hihihihihihhh....[emoji2][emoji2][emoji2][emoji3]nakuonaaa na kipoozeo chakoo
Habariii mke mweeHata usiporudi mi fureshi.. [emoji21]
[emoji3][emoji3]kwahiyo hapo umefurahiHabariii mke mwee
Ha ha mbona tayali nmeshatoa mwaliko binamu?...binamu nashukuru sana kwa salamu bila ukaribisho wa kula vya kuchinja, maana ndugu yako nimezoea vya kunyonga (kunyonga jani- kwa kibali cha dakitari)
Nilikuwa na anko Lee kapata mwaliko toka kwa Meninah, tutaenda wote
Mfyuuu we[emoji2] ee tunaendelea dadaa..
WapoMpo humu
Hamna cha kunifuraisha hapo[emoji3][emoji3]kwahiyo hapo umefurahi
[emoji13]mfyuu too..Mfyuuu we
Kwemaa[emoji137]
Wajumbe kwema????
Unazuga tu huna loloteHamna cha kunifuraisha hapo
Sikukuu yasemaje mpendwa?Kwemaa
Kila nafsi itaonja mauti( imeandikea)Nimemkumbuka mkali ibra87 alikuwa mtunzi bora sana wa riwaya za kipepelezi na mapenzi humu ndani
Dah so sad RIP
Ohooo....kumbe na huku Kuna wajumbe!![emoji137]
Wajumbe kwema????
Mjumbeee[emoji13]mfyuu too..
Najifariji et!Unazuga tu huna lolote
Ha ha mbona tayali nmeshatoa mwaliko binamu?