Tafuta na ww mtekaji mfyuuuu
Napita tu nawasalkmia sijui nianzie wapi au niishie wapi
Huu utekaji haujakuacha salama kibonge mwepesi,,full kuchapiaNapita tu nawasalkmia sijui nianzie wapi au niishie wapi [emoji134][emoji134][emoji134]
Haha utakuwa umeiba nywila wewe sio kwa michapio hii...Ndio nani huyu baba wawili kijana mpolr anaemsema binamu
Haha kuanzia sasa hutobaki peke yako na je wajua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie humu si huwa mnaniachaga peke angu na je wajua yangu au sio nyie nimechoka na mm kubaki peke angu
Binamu na mm naomba unimwagie hizo hela.....aunt nimefurahi kukuona, ulipotea nikapata hela nikamwaga sikukuu humu hadi balaa yaani krismasi ilikuja mapema.
Nitakuwekea picha baadaye jinsi wadau walivyojirusha na kurushana.
Umerudi au bado utekwaji unaendelea
Hahhaha ngoja nikusikilize binamu yangu nianzie apa...anzia hapa na uishie pale
Huu utekaji haujakuacha salama kibonge mwepesi,,full kuchapia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu mwenyewe ndio nasoma hapa baba wawili kuwa nimechapia nilikuwa sijaona mchapio sio wa nchi hiiHaha utakuwa umeiba nywila wewe sio kwa michapio hii...
Hahah unajitoa ufahamu wa kutokumjua kweli
Waongo nyie baba wawili kila siku nabaki peke yangu humu na je wajua yanguHaha kuanzia sasa hutobaki peke yako na je wajua
Leo tunapoza koo WAP mkuuMakapuku ee inakuajee..
Hahahah hiyo michapio ni dhahiri kuwa umeiba nywila[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu mwenyewe ndio nasoma hapa baba wawili kuwa nimechapia nilikuwa sijaona mchapio sio wa nchi hii
Mm simjui labda nimuite King Davet anaweza kunikumbusha nimjue
Tutakuwa wote kuanzia leo,tulikumiss sana,,,hujaona hizo hashtag shunie[emoji16]Waongo nyie baba wawili kila siku nabaki peke yangu humu na je wajua yangu
Poa habari yakoMakapuku ee inakuajee..
Tupo hapahapaMaboss wa Dora moja viwanja WAP Leo
[emoji58]
Kweli nimeona mmenimiss kumbe nikiwa sipo mnanimisigi eenh baba wawiliTutakuwa wote kuanzia leo,tulikumiss sana,,,hujaona hizo hashtag shunie[emoji16]
Hahaha kote kule ulikuwepo kimya kimya[emoji119][emoji119]Hahhahaha mambo ya hijab halafu akamtafute chimbo lake King bwana
King mpaka huku anaongelewa?Hahahah hiyo michapio ni dhahiri kuwa umeiba nywila
Unafahamu kuhusu King pia wewe kiboko
King Davit hachelewi kuanza mambo ya hijab [emoji16]