Hahahaa. Tulikuwepo na Sakayo , Sanchez magoli Don Clericuzio , troublemaker . πππUwiiiii usiniambie jamani
Hahha mm na atoto tuliingia usiku naona sisi tulipona
Poleni sana jamani
Hahahhahha na yeye alipewa ban khaaa na anavyoogopa ban
Yaani fasta uzi ulitembea huo. Kumbe Mods wanatuona. Walichofanya walifuta vyote wakaacha vichache. πππππHahahhahha na yeye alipewa ban khaaa na anavyoogopa ban
Nacheka mm kama mazuri jamani naona mods sisi tuliokuja mwishoni wametuonea huruma
Huna kifua!Haahhaha
Yameanza lini haya mahaba eti
Hivi ww mwanaume si wa ndg yangu rayna
AmenAsante jamani na kwako pia
DuuuhDada kuna uzi umeniquote mwenzangu umenipatisha Ban jana hivyo hata sijataka kuandika tena.
Tulipata Ban watu kama 08 hivi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tu ndugu yangu.Duuuh
Nimepitia huo Uzi nikaona mlivyo kuwa mnatililikaAcha tu ndugu yangu.
Sasa pale pages kibao zilifutwa. ππππ Maana uligeuka uwanja wa soga.Nimepitia huo Uzi nikaona mlivyo kuwa mnatililika
Kumbe mpinga soga akawa ameanzisha soga mpyaSasa pale pages kibao zilifutwa. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Maana uligeuka uwanja wa soga.
Inawezekana sakayoSakayo huyo ndio alianzisha. [emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahaha kumbe pale tulivyokuta post zilishafutwaYaani fasta uzi ulitembea huo. Kumbe Mods wanatuona. Walichofanya walifuta vyote wakaacha vichache. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ila nilicheka sana mana nataka kulog out haitaki nikasema leo kazi ipo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio zilikuwa zimefutwa.Hahahaha kumbe pale tulivyokuta post zilishafutwa
Sasa mods wakirudi tena watatupa ban sisi
Aliniquote kwa kunisalimia hivyo na mie nikaliendeleza. πππ Mpaka tukakutwa.Hahahha sakayo alianzishaje
Hahahahaah kitachoendelea ule uzi naona kufungwa tu ila jf inanipa raha sanaNdio zilikuwa zimefutwa.
Sidhani kama mtapewa Ban ababu hata wale waliopewa Ban jana wamerudi bado wanacharuana na mleta uzi. [emoji3][emoji3][emoji3]
HahhahahahahAliniquote kwa kunisalimia hivyo na mie nikaliendeleza. [emoji3][emoji3][emoji3] Mpaka tukakutwa.
Umeonaeee. Ule uzi hauna umri mrefu.Hahahahaah kitachoendelea ule uzi naona kufungwa tu ila jf inanipa raha sana