...na mimi nakaribishwa? Au kuna masuala ya kijinsia yanazingatiwa?
Tutakuja nao[emoji23][emoji23][emoji23]Bila kuwasahau mapacha
Tutakuja nao[emoji23][emoji23][emoji23]
Usiku mwema kesho uamke mapema utupikie pilau[emoji39][emoji23][emoji23]Ss mi nawaaga fikisheni salam
[emoji38][emoji38]nimezipokea salam bila kinyongo na asante sana..
Sema hapo kwenye mambo yetu ndo umeharibu [emoji45] (umenikumbusha machungu nilikwishasahau )
Niko poa sana nashkuru mpk sasa,
Je wewe na familia, ?
Muwe na usiku mwema wapendwa
[emoji23][emoji23][emoji23]dah, basi sawa mida ndo hii....mimi na familia kwa kweli uonge mbaya, tuko vizuri sana, yaani hapa nimekaa natunza njaa tu ili kukicha basi tupige mpunga wa girigiriani, maandazi, sambusa, wali nazi. Asant kwa salamu zako.
Dalili za yale mambo yetu ambayo huwa nikipata hela tu nafall kwako zinaonekana kuwa nzuri. Waziri mkuu kasema tutalipwa
NB Huto tumaandishi tudogo mwingine haruhusiwi kusoma, ni kwa ajili ya usalama wangu baada ya kutotoa zawadi ya sikukuu kwa my Telemundo na mama yenu.
Muwe na usiku mwema wapendwa
Usiku mwema kesho uamke mapema utupikie pilau[emoji39][emoji23][emoji23]
Nmeamka salama[emoji120][emoji120]Tumeamka salama kwa dua yako asante, vp we umeamka, ?
[emoji120][emoji120][emoji120]Kwakweli nimezingatia maelekezo yako nimeamka mapemaaa
[emoji3]jaman my sisy, aliniteka my telemundoTelemundo wa binamu nani alikuteka jamani
We miss you[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]