Makapuku Forum

Hahahaha, kitimoto nakulaga pekee yangu au masela wangu

Zawadi nzuri km ipi ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwenye kula kitimoto we mzee

Nitakupa zawadi muzuri sana tukimalizana na hilo swala letu

MTC | 101| [emoji769]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ww mawazo yako huwa ya kukulana tu
 
Hahahaha

MTC | 101| [emoji769]
 
Kasome kitabu za Waamuzi mlango wa 11 wote utapata hiyo story.

Wewe ndio unawaza kulana, mimi nawaza dolari mamalai..
Sasa kwa nn ufikilie habari za milimani ni kukulana sisi milima tunayozungumzia sio hiyo yako byeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…