Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu
...ha hahahah ndo hivyo. Ila nina uhakika hao walionunua zamani hawakuinunua nchi ya kigeni nchini Kenya
 
Hahahah haya anko hujakosea hata ila na mimi nna swali dogo hivi huyo binamu wako ana pacha?

...pacha atoke wapi, yuko mwenyewe tu ndo maana ana kiburi na kama unaijua ile dawa ya mkojo wa punda basi ipo na ya kidonge. Ndo ile ile inabadilika muundo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…