Mtaasisi baadae katika music segment ninaomba wimbo uitwao 'Nadina' muimbaji nimemsahau maybe Yondo sister.
Hivi mtaasisi hajaandikwa kiganjani?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji106]....nimeandikwa moyoni, kiganjani akichamba si inafutika
Ahsante sana mtaasisi kwa kutupia good music from Mbilia BellMuziki: Two In One
.....two in one usifikiri naongelea ule wimbo mzuri wa taarab ya Alhaj Mzee Yusuf, la, hapa namaanisha naunganisha salamu za kukuuliza kuhusu weekend yako ilivyokuwa na kukutakia wiki njema. Upande wangu mambo yalikuwa mazuri sana, nashukuru sana kwa kuendelea kuwa hapa na kulifanya Jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Wiki ya kazi ndo imeanza na kati ya miezi mirefu sana mojawapo ni huu, huwa una wiki tano, sijataka uhesabu kisha ukazikosa unaanza kuniuliza mbona kwaresma imeangukia mwezi huu na easter itakuwa lini, endelea kufunga na kama hujafunga kama anko wangu Lyon Lee basi angalau funga mlango unapoingia chooni sio kukaa unajikoholeshakoholesha kama umeshikwa na chemba moyo.
Nikushukuru sana Nyagei mtaasisi kwa kuliweka hai Jukwaa kwa wikend yote na ninarudia tena kutoa taarifa kuwa tangu mwaka umeanza weekends zote hata nikiwepo jukwaani siwezki muziki. Muziki ni siku za kazi tu maana natumia bundle la ofisi.
Muziki sasa, two in one inahusisha kipengele cha muziki na ombi la mtaasisi mwenzangu Nyagei ambaye ametaka tuburudike na wimbo huu toka kwa mrembo mkongwe le madame Mbilia Bell
Ahsante mtaasisi kwa kusahihisha juu ya muimbaji wa hiyo NyimboNadina umeimbwa na Mbilia Bell, na kuna version ya Lingala na Kiswahili.
Nitaucheza mtaasisi, pamoja sana
Bado natafakari mtaasisi, huku naburudika na muziki mzuri toka kwa mwanamama fundi Mbilia Bell,Tafasiri Unavyoweza: Tule Pamoja, Furaha Hununuliwa
Moja kati ya mjadala (debate) maarufu kabisa shuleni hasa sekondari na hata kwenye maisha ya kila siku ni ule usemao, 'Pesa Hainunui Furaha' mashabiki na wapinzani hapa walikuwa wanakutana na kila mmoja kusema anavyoona na kutetea upande wake. Ilikuwa ni mjadala mzuri na wa kuvutia iwe unajadiliwa kwa Kiswahili au kiingereza. Upande wa waliosema pesa hainunui furaha ulionekana kushinda mara nyingi lakini haikuzuia wote waliodhani pesa hununua furaha kuondoka na furaha kwamba maoni yao yamesikilizwa. Tafasiri Unavyoweza.
Nikukaribishe tu kwenye tafakari yenye uzoefu wa kibinafsi na hapa ninaweka wazi maslahi yangu kwenye kusema kuwa pesa hununua furaha ni suala la tafasiri tu kugomba na ndiyo maana kipengele hiki kipo. Kwanini ninasema pesa inanunua furaha, sababu ni moja tu, kila mmoja wetu anapenda kuishi kwa furaha na furaha ya pesa haimaanishi kuwa na utajiri wa kupita jirani yako, la hasha. Unaweza kuwa na hela ya mboga na kahawa tu huku mfukoni ukiwa na sarafu kama albaki.
Pesa hununua furaha pale tu utakapoweza kumkaribisha jirani yako na kutumia pamoja, mfano unaweza kuwa na shilingi elfu kumi na ukaona uitumie kwa kununua kitabu cha kujifunza kusoma na ukakipeleka shuleni. amini kabisa kuwa pesa yako imenunua furaha kwa watoto wengi ambao hawana uwezo wa kununua kitabu hicho. Ukimkaribisha rafiki, ndugu au yeyyote uliyekutana naye na ukamlipia nauli ndani ya gari basi umenunua furaha si kwako tu bali na kwa yule uliyemfanyia wema. Atabaki na tabasamu na moyo wako utakuwa na furaha hata wakati unaenda kulala. Tafasiri unavyoweza
Bado natafakari mtaasisi, huku naburudika na muziki mzuri toka kwa mwanamama fundi Mbilia Bell,
Hivi Mbilia Bell ana undugu na Alexander bell?
Shikamoo binamuMuziki: Kimya Kimya
Shikamoo binamu
Asante kwa burudani[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Akina JJ hawajambo kabisa binamu pole na mihangaikoAsante binamu Tumosa. naamini wanenu kina JJ hawajambo sana
Lakini watakuwa wana gene's same hawa viumbe wawili [emoji124] [emoji124]Ha hahhahahhaa, Mbilia Bell na Alexander Bell waliishi karne tofauti kabisa, nchi tofauti kabisa na mmoja Alexander alivumbua simu na mawasiliano ya simu tunayoyafurahia sasa huyu mwingine dada yetu alikuwa akiumiza kichwa kutunga nyimbo nzuri tunazofurahia leo
Kofi olomide aliniteka enzi ya album ya Loi toka hapo amekuwa mfanyabiashara tuMuziki: Kimya Kimya
WasalimieAkina JJ hawajambo kabisa binamu pole na mihangaiko
[emoji120] [emoji120] [emoji120] zmefka shemelaWasalimie