Kinapambana na hali yake heshima na adabu sasa hivi akiniona silei mfugo unaoitwa binadamu naona alijua me mama wa fursa mwenyewe nataka kulelewa mpaka nasubiri mapound kutoka kwa makaKiben chako kimeishiaa wap
Sijawahi ona mie mambo body to bodyWe ushawahi ona shunie!!?
Kwa maana yangu mie nawez kurudia hata mara 10, mpaka mzigo wenyewe ukiri inatosha ndio naacha kubebaAhahahh basi nipe kwa maana yako
HaswaBasi ndio maana sipendi ngao.. vikorombwezo vya nini kwenye maji ya kunuwa!? Mara utie giligilana, sijui uweke karafuu, mara uweke ladha sijui, mdalasin sasa hyo maji au juice tena..
Raha yake upate kitu chenyewe
Kweli mke mweee mcute kaona icwe tabu kapotea we utahisi nn hapo
Mamii, matangazo mengi ntapigwa kipapai bure..Kinapambana na hali yake heshima na adabu sasa hivi akiniona silei mfugo unaoitwa binadamu naona alijua me mama wa fursa mwenyewe nataka kulelewa mpaka nasubiri mapound kutoka kwa maka
Kinapambana na hali yake heshima na adabu sasa hivi akiniona silei mfugo unaoitwa binadamu naona alijua me mama wa fursa mwenyewe nataka kulelewa mpaka nasubiri mapound kutoka kwa maka
Ahahahhhh na kweliNae si kivuruge ndio maana..
Labda.. kila mtu na lenzi yake, sijui jicho lake lina megapixels ngap, usikite 1mp.. sasa hapo unategemea ninKwahiyo me na wewe tunafanana eti
Kwa maana yangu mie nawez kurudia hata mara 10, mpaka mzigo wenyewe ukiri inatosha ndio naacha kubeba
Bongo movie ye hatakiebu niache usinitafute maneno jaman au alikuwa anasubiri mbebe akwende pm kila akiingia pm hola anaona mapenzi ya jukwaani
Unapigwaje kipapai jamaan anakujua nani kipapai hakiji kwa id fake au avatar fake relaxMamii, matangazo mengi ntapigwa kipapai bure..
Sasa je.. toka lini papa akaungiwa rosti kwani kawa sato yule.. kitu chukuchuku tuuSijawahi ona mie mambo body to body
AhahahhLabda.. kila mtu na lenzi yake, sijui jicho lake lina megapixels ngap, usikite 1mp.. sasa hapo unategemea nin
Ahahhhh bongo movie atuachie waigizaji tu kila akiingia pm holaBongo movie ye hataki