Makapuku Forum

Asante kwa music kiongozi Obe
 
Sina ripoti mie hizo mambo hazinihusu kabisa yaan hazinihusu sakayo dada angu sawa na sipendi kuona akiumizwa naona unataka kuleta hizo mambo ili sakayo ajisikieje me sitaki jaman
Hongera Kwa kua dada mzuri kwa Sakayo.... A friend in need is the friend indeed.... Obviously I am joking Shunie .....please turn on a joking mode.... Mimi ni babu yako ujue.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Woyoooooooooooo mama ashura veeep


...hukusikia kwani, yaani anko hakukwambia! Niliachika, yaani aliniacha. Kisa chenyewe ni cha kijinga tu, eti nilimuomba aongeze zile mambo zangu nikataka shanga akabaki kushangaa eti kwanini alizonazo hazitoshi? Nikamwagwa, ila ilikuwa ni zamani kabla sijakutana na tulizo langiu la moyo alhabib Husna
 
Hapakuwa na fitina za anko kweli hapo
 
Binamu asanteee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…