Makapuku Forum

Katika dondoo za bbc. ..


[emoji117] Mgogoro wa ardhi wilayani Loliondo, Kaskazini mwa Tanzania umeendelea kukua baada ya mamlaka za uhifadhi wilayani humo kuendelea kuchoma nyumba za watu wa jamii ya Kimaasai.

[emoji117] Rais Donald Trump anatembelea Texas, wakati ambapo jimbo hilo likihangaika kukabiliana na madhara yaliyosababishwa na mvua nyingi.

[emoji117] Bunge jipya la Katiba nchini Venezuela limepiga kura kwa kauli moja kuunga mkono viongozi wa upinzani kushtakiwa kwa makosa ya uhaini

[emoji117] Wakati Kenya ikianza kutekeleza marufuku ya matumizi ya mifuko ya plastiki,nchi ya Rwanda ilianza marufuku hiyo miaka 9 iliyopita na inajivunia kufanikiwa kutekeleza marufuku hiyo

[emoji117] Mkuu wa shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa-FAO-Jose Graziano da Silva ameanza ziara rasmi ya siku tatu nchini Uganda

[emoji117] Je waufahamu muziki wa mwambao?ni maarufu katika Pwani ya Afrika mashariki,kutokana na vionjo vyake ambavyo huleta Ladha na nakshi ya aina yake katika muziki huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…