Natumaini amjambo humu ndani wasaka tonge wenzangu, samahani wadau naombeni mnielekeze makao makuu ya sido kwa hapa dar es salaam nina shida ya kwenda huko.
Natumaini amjambo humu ndani wasaka tonge wenzangu, samahani wadau naombeni mnielekeze makao makuu ya sido kwa hapa dar es salaam nina shida ya kwenda huko.