thebackbonet
Member
- Aug 13, 2017
- 19
- 1
Mkuu unatetesi zozote ili tukae tayarushauri: wakishatoa majina ya watu waliokosea kufanya application ya loan basi wahi mapema ikiwezekana alfajiri kwa sababu watu ni wengi.
Mkuu unatetesi zozote ili tukae tayarushauri: wakishatoa majina ya watu waliokosea kufanya application ya loan basi wahi mapema ikiwezekana alfajiri kwa sababu watu ni wengi.
Imekuaje?Asanteni kwa wote mliojitolea kunieleeza, nimeenda na kiukweli imeshindikana kwahiyo kuna uwezekano mdogo wangu akakosa mkopo.
Duh wamekwambiajeAsanteni kwa wote mliojitolea kunieleeza, nimeenda na kiukweli imeshindikana kwahiyo kuna uwezekano mdogo wangu akakosa mkopo.
wamesema muda wa maombi umeisha kwahiyo hakuna namna wanaweza kunisaidiaDuh wamekwambiaje
Sasa si wameshasema wanatoa majina ya waliokosea taarifa zao labda ndio maana wamekuacha , sababu watu 16000 wamekosea kujaza fomuwamesema muda wa maombi umeisha kwahiyo hakuna namna wanaweza kunisaidia
Kaka nimeuliza kuhusu hilo suala la kutoa majina nilichojibiwa nanukuu "Hiyo si guarantee, tunaweza tukatoa au tusitoe".Sasa si wameshasema wanatoa majina ya waliokosea taarifa zao labda ndio maana wamekuacha , sababu watu 16000 wamekosea kujaza fomu