Ndugu zangu nina tatizo moja ambalo katika maombi yangu ya mkopo ambapo nimeshauriwa njia nzuri ya kulitatua ni kwenda makao makuu ya HESLB.
Tatizo lenyewe ni kwamba nilituma cheti ambacho hakikuhakikiwa na RITA.
Sasa naomba kujuzwa makao makuu ya HESLB yako wapi hapa Dar es salaam?
Natanguliza shukrani!
Tatizo lenyewe ni kwamba nilituma cheti ambacho hakikuhakikiwa na RITA.
Sasa naomba kujuzwa makao makuu ya HESLB yako wapi hapa Dar es salaam?
Natanguliza shukrani!